Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanariadha nyota kuchuana

>Wanariadha maarufu Tanzania, Mary Naali, Jacqueline Sakilu, Sarah Ramadhani, Andrew Sambu na Dickson Marwa ni miongoni mwa wakimbiaji watakaochuana kusaka ubingwa wa mbio za Kilimanjaro Marathon.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wa Kenya hatiani

Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha: Wanariadha bado

Kocha wa timu ya taifa ya riadha, Boniface Kimisha amesema wanariadha wa Tanzania wanaoendelea na kambi China bado imeshindwa kuwasaidia kudadilisha viwango vyao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha waandamana Kenya

Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Wanariadha mna deni

 Rais Jakaya Kikwete aliangalia mechi yote ya fainali ya Kombe la Dunia na jana aliipongeza Ujerumani kwa kutwaa ubingwa, lakini baadaye jioni aliwaaga wanamichezo wa Tanzania  wanaoenda kwenye Michezo ya |Jumuiya ya Madola akisema wana deni kubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

IAAF kuwachukulia hatua wanariadha 28

Shirikisho la riadha duniani IAAF limesema kuwa linachukua hatua kali dhidi ya wanariadha 28 walioshiriki katika michezo ya dunia ya mwaka 2005 na 2007 baada ya kukagua upya violezo vya mikojo yao na kupata matokeo mabaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanariadha walemavu Kenya wakwama

Timu ya Kenya ya wanariadha walemavu imeshindwa kusafiri hadi Doha kushiriki mbio za Ubingwa wa Riadha Duniani baada ya serikali kuondoa ufadhili wake dakika za mwisho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani mwiba kwa wanariadha

Kwa mara ya kwanza Ujerumani imeamua kuweka sheria kali kwa wafukuza upepo kama kosa la jinai

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wa Kenya walalama Scotland.

Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola mjini Glascow kinakabiliwa na wakati mgumu kutokana na ukosefu wa vifaa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani