Wanariadha nyota kuchuana
>Wanariadha maarufu Tanzania, Mary Naali, Jacqueline Sakilu, Sarah Ramadhani, Andrew Sambu na Dickson Marwa ni miongoni mwa wakimbiaji watakaochuana kusaka ubingwa wa mbio za Kilimanjaro Marathon.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Vitenge vya nyota nyota vyatikisa
Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Wanariadha wa Kenya hatiani
Wanariadha wawili wa kike nchini Kenya, Viola Kimetto na Joyce Kiplimo, wamepigwa marufuku kushiriki riadha, baada ya Shirikisho la riadha Kenya, kugundua walikuwa wakitumia dawa za kuongezea nguvu.
11 years ago
Mwananchi31 May
Kocha: Wanariadha bado
Kocha wa timu ya taifa ya riadha, Boniface Kimisha amesema wanariadha wa Tanzania wanaoendelea na kambi China bado imeshindwa kuwasaidia kudadilisha viwango vyao.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Wanariadha waandamana Kenya
Kundi la wanariadha waliojawa na hamaki limevamia makao makuu ya shirikisho la riadha nchini Kenya AK
11 years ago
Mwananchi16 Jul
JK: Wanariadha mna deni
 Rais Jakaya Kikwete aliangalia mechi yote ya fainali ya Kombe la Dunia na jana aliipongeza Ujerumani kwa kutwaa ubingwa, lakini baadaye jioni aliwaaga wanamichezo wa Tanzania wanaoenda kwenye Michezo ya |Jumuiya ya Madola akisema wana deni kubwa.
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
IAAF kuwachukulia hatua wanariadha 28
Shirikisho la riadha duniani IAAF limesema kuwa linachukua hatua kali dhidi ya wanariadha 28 walioshiriki katika michezo ya dunia ya mwaka 2005 na 2007 baada ya kukagua upya violezo vya mikojo yao na kupata matokeo mabaya.
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Wanariadha walemavu Kenya wakwama
Timu ya Kenya ya wanariadha walemavu imeshindwa kusafiri hadi Doha kushiriki mbio za Ubingwa wa Riadha Duniani baada ya serikali kuondoa ufadhili wake dakika za mwisho.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ujerumani mwiba kwa wanariadha
Kwa mara ya kwanza Ujerumani imeamua kuweka sheria kali kwa wafukuza upepo kama kosa la jinai
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Wanariadha wa Kenya walalama Scotland.
Kikosi cha Kenya katika mashindao ya Jumuiya ya madola mjini Glascow kinakabiliwa na wakati mgumu kutokana na ukosefu wa vifaa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania