Messi chini ya ulinzi mkali jijini Mbeya
![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dZdFVtFRWxeimfqB5jxfs3Ogu5kZ5FCLTT*tNmE5GMRA8ecIxGvp1fj7cqzDMlpICe-yNl7m0ai1AKs0Bv7kOaF/MESI.gif?width=600)
Ramadhani Singano ‘Messi’. Sweetbert Lukonge, Dar na Sophia Mwaipyana, Mbeya BENCHI la ufundi la Mbeya City limesema kuwa limejipanga vilivyo kuhakikisha kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ hafurukuti katika mechi ya kesho ya Ligi Kuu Bara itakayozikutanisha timu hizo kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa kumwekea ulinzi wa kutosha. Kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mwambusi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTambwe chini ya ulinzi mkali Simba
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Maziko ya mtoto albino kufanyika chini ya ulinzi mkali
9 years ago
VijimamboDAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR
9 years ago
MichuziDAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR
9 years ago
VijimamboFM ACADEMIA WADONDOSHA SHOW YA NGUVU JIJINI MBEYA CHINI YA UDHAMINI YA KINYWAJI CHA K-VANT GIN
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Ulinzi mkali bungeni
JESHI la Polisi mkoani Dodoma limeendelea kuimarisha ulinzi eneo la kuzunguka jengo la Bunge, licha ya azimio la maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutotekelezwa juzi. Kama ilivyokuwa...
10 years ago
Mtanzania18 Sep
Ulinzi mkali kesi ya Sheikh Farid
![Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Sheikh-Farid-Hadi-Ahmed.jpg)
Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
ULINZI mkali wa polisi na mbwa umetawala Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana, wakati kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) na wenzake ilipokuwa ikitajwa.
Askari wenye sare na wale waliovaa kiraia walitanda kila kona ya mahakama hiyo kwa ajili ya kuhakikisha usalama unakuwapo.
Ndugu wa...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Ulinzi mkali mdahalo wa Jaji Warioba leo
11 years ago
Habarileo10 Dec
Ulinzi mkali kumuaga Nelson Mandela leo
LEO ni siku ya kitaifa ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.