METL yaongoza kutoa ajira sekta binafsi
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mohamed Enterprises, Mohamed Dewji amesema kampuni yake inaongoza sekta binafsi kwa kutoa ajira kwa vijana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
UVCCM: Sekta binafsi jibu la ajira
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imesema tatizo la ajira duniani linayumbisha na kuishauri serikali kuitumia sekta. binafsi kwa kufufua karakana, uanzishwaji vyuo vya ufundi na...
10 years ago
Dewji Blog15 Nov
Sekta binafsi ihusishwe kutoa huduma za afya — Pinda
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa Afya (Annual Health Summit ) kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam Novemba 14, 2014. (Picha na Ofisi ya Wazri Mkuu).
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ipanue wigo wa utoaji huduma za msingi kwa kuishirikisha zaidi sekta binafsi nchini.
“Ninawasihi Waziri wa Afya na Naibu wake kwa vile ni wapya bado wabadili mtizamo wa wizara hii kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s72-c/image_1.jpeg)
WAHITIMU WAASWA KUACHANA NA FIKRIA POTOFU KUWA ELIMU WANAYOIPATA ITAWAPATIA AJIRA SERIKALINI AU KWENYE SEKTA BINAFSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ITCnkrKpSys/ViIRJXYczlI/AAAAAAAIAho/tmkKEh80SUE/s640/image_1.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lQi0GpbGI1Y/ViIRKhsfnmI/AAAAAAAIAh8/cSdwkMKdea8/s640/image_3.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GI4zhW8GdcY/VbeI3a2pTvI/AAAAAAAHsQk/hJ-yk2vlOn4/s72-c/070.jpg)
WAKATI UMEFIKA KWA SEKTA BINAFSI KUJENGA UTAMADUNI WA KUTOA RUZUKU ZA TAFI- DR.SHEIN
![](http://1.bp.blogspot.com/-GI4zhW8GdcY/VbeI3a2pTvI/AAAAAAAHsQk/hJ-yk2vlOn4/s640/070.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wHzS7_q4zCE/VbeI134BBoI/AAAAAAAHsQc/sywpTNa-UB0/s640/092.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Nr85iToPjE/Xuyv5d67UeI/AAAAAAALuls/wCd5IV8DjSY6B1VFHKTGao_2YiwXs4GPACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B1.39.54%2BPM.jpeg)
SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Na. WAMJW-DSM
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...
10 years ago
Dewji Blog07 Oct
FURSA za ajira kutoka MeTL GROUP
Advocates vacancy Internet.pdf by moblog
Jnr Sales – Swahili.pdf by moblog
Snr Sales.pdf by moblog
Technical Psns.pdf by moblog
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9nsL2uSKVQc/XrLOlxD4oZI/AAAAAAALpTU/J1B_Or4uIH0bBIdLWg-PelRq2yBQCijwgCLcBGAsYHQ/s72-c/Serengeti.jpg)
SERIKALI ,SEKTA BINAFSI WATAKIWA KUKAA NA KUBUNI MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA MUHIMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA CORONA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
SERIKALI pamoja na sekta binafsi zimetakiwa kukaa pamoja ili kubuni mikakati ya namna ya kuendesha sekta muhimu za uchumi kama vile sekta ya utalii ,sekta ya usafirishaji ,sekta ya kilimo ,sekta ya nishati pamoja na ufugaji bila kungoja kuisha kwa janga la Corona 19.
Hayo yamebainishwa na Mtendaji mkuu wa marafiki wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Moses Adam wakati akizungumza na Michuzi Tv ambapo alisema wanatakiwa kuja na njia mbadala endelevu zitakazoendelea ...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/vacancies1.jpg)