Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meya mlevi wa Toronto

Meya mwenye utata wa mji wa Toronto, Rob Ford amesema kuwa atachukua likizo ya muda ili kutatua tatizo lake la ulevi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Meya wa Toronto anataka kusaidiwa

Wakili wa meya huyo, amesema Bwana Ford amekiri kuwa na tatizo la utumizi mbaya wa madawa ya kulevya na kwamba angetaka kusaidiwa.

 

10 years ago

Vijimambo

MEYA WA KINONDONI, YUSUPH MWENDA ATWAA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi cheti cha Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la Afrika Kundi la Majiji ya Kati (Medium Size Cities) kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda katika hafla iliyo zilizotolewa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (UCLGA), Dar es Salaam jana.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Hawa Ghasia akikabidhi Tuzo ya Meya/ Halmashauri Bora katika Bara la...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA MWENDA WA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA

Na Mwandishi Maalum, Dar es Salaam
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda ameshinda Tuzo ya Meya Bora katika Bara la Afrika katika kundi la Majiji ya Kati na kuyabwaga majiji mengine mbalimbali.
Tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (The United Cities and Local Government of Africa- UCLGA) na kupewa jina la Rais wa Angola ‘President Jose Eduardo Dos Santos- Africa Mayors Award’ ni za mara ya kwanza kufanyika Barani Afrika.
Tofauti na Tuzo za Tanzania,...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya Meya Bora Tanzania kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda baada ya kushinda tuzo hiyo kitaifa iliyoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi. Kulia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri.Rais Jakaya Kikwete akizungumza baada ya kukabidhi Tuzo ya Meya Bora Tanzania, Yusuph Mwenda (kulia) baada ya kushinda tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida

IMG_1325

Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.

IMG_1287

Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...

 

11 years ago

GPL

JE, WEWE NI MLEVI AU MNYWAJI?

LEO ningependa kutoa somo kwa jamaa walioanza tabia ya kunywa pombe na hawajajua kama  sasa wamefuzu na wanaweza kuitwa  walevi rasmi. Somo hili ni muhimu maana nimeshakuta watu wengi wakibisha kuwa wao si walevi ila wanywaji tu wa pombe. Baada ya darasa hili nategemea mtu atajijua kama yeye ni mlevi au mnywaji.
Mnywaji wa ukweli hupitia hatua kadhaa za ulevi, hatua ya kwanza ni Busara. Katika hatua hii pombe humpa...

 

10 years ago

Vijimambo

HARUSI YA SHARIFA NA HAITHAM TORONTO CANADA

Haitham na Sharifa wakiingia ukumbini kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 jijini Toronto, Canada.Bwana na bibi harusi wakijiandaa kukata keki.Bwana na bibi harusi wakikata keki.Bwana harusi akimlisha keki bibi harusiBwana na bibi harusi katika picha ya pamoja na ndugu,jamaa na marafiki waliohudhuria sherehe ya harusi yao.picha ya pamoja.kwa picha zaidi bofya soma zaidi


 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa shambulizi la Paris 'alikuwa mlevi'

Mshukiwa aliyeongoza mashambulio ya kigaidi mjini Paris Abdelhamid Abaaoud,alionekana akinywa pombe na kuvuta bangi na watu wengine nje ya nyumba yake.

 

11 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Uzalendo siyo ugaidi

>Wabantu kuichukulia salamu kuwa ni habari kamili. Kule Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, usishangae kuulizwa kuku na bata “waghonile”?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani