MFALME WA REGGAE JHIKOMAN ADATISHA KATIKA INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TUBINGEN,UJERUMANI
Tubingen,Ujerumani, Mwanamuziki maarufu wa reggae barani Afrika Jhiko Manyika aka Jhikoma kutoka Bagamoyo,Tanzania,alifanikiwa kuwadatisha akili washabiki wa muziki nchini ujerumani siku ya alhamisi 17 julai 2014 katika maonyesho makubwa ya kimataifa 5th International African festival Tubingen 2014,yanayofanyika katika viwanja vya Festplatz,mjini Tubingen,Ujerumani.
Mwanamuziki huyo nguli wa reggae amepewa heshima zote za kimataifa kwa uwakilishaji wake kama balozi wa reggae wa Afrika.ratiba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMfalme wa reggae Ras Jhikoman kutoka Bagamoyo,Tanzania atua mjini Tubingen,Ujerumani
11 years ago
MichuziAFRICAN REGGAE AMBASSODOR JHIKOMAN KUTINGISHA JUKWAA TUBINGEN,UJERUMANI
10 years ago
VijimamboNgoma Africa Band To Rock 6th International African Festival Tubingen, Germany 2015
Ngoma Africa, based in Germany, founded 1993 by bandleader Ebrahim Makunja also known as Kamanda Ras Makunja, is home to a number of talented musicians, including soloist Christian Bakotessa aka Chris-B.
Others are Jo Souza, Matondo Benda, Aj Nbongo, Sarah Simbosh, Jessicha Ouyah, Groly Mundeke,...
11 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND TO ROCK 5th INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TUBINGEN,GERMANY 2014
10 years ago
MichuziNGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA INTERN.AFRICAN FESTIVAL TUBINGEN ,JUMAMOSI 25 JULAI 2015
11 years ago
MichuziJhikoman katika tizi la Uzee mwisho Chalinze ndani ya Ujerumani
10 years ago
VijimamboNGOMA AFRICA BAND YAFUNIKA INTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÃœBINGEN 2015
Bendi hiyo ilipanda...
10 years ago
TheCitizen13 Mar
Jhikoman the tireless reggae disciple
11 years ago
MichuziINTERNATIONAL AFRICAN FESTIVAL TÃœBINGEN,GERMANY: Thursday 17th to Sunday 20th July 2014 - 4days nonstop
Menu 2014’s Edition CULTURE & TOURISM – BUSINESS SYMPOSIUM – AMBASSADORS CONFERENCE & PROJECTS African market for Souvenirs, handcraft & decoration – African fresh and spicy...