Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfugale: Mtu aliyeaga umaskini baada ya kazi nyingi za sulubu

Joseph Mfugale ni Mkurugenzi wa Hoteli ya Peacok  ya jijini Dar es Salaam ambaye kwa sasa anamiliki mali za mabilioni ya fedha kutokana na shughuli za biashara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

PAMOJA NA MBWEMBWE NYINGI... TICHA AVUNJA NDOA YA MTU

Stori: Haruni Sanchawa
RB namba STK//RB/4457/2014 -KUTUMIA LUGHA YA MATUSI inawahusu wanandoa waliodumu kwa zaidi ya miaka 10, waliofunga ndoa kwa mbwembwe nyingi, Nyange na Ruth kisa kikielezwa kuwa ni ticha anayedaiwa kuvunja utatu huo mtakatifu, Ijumaa lina kisa na mkasa. Ruth na Nyange wakati wa harusi. Habari zilieleza kwamba wahusika ni  wakazi wa Pugu, Dar.
Kwa mujibu wa habari za mtaani wanakoishi wawili hao...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hapa kazi tu na utendaji kazi wa staili ya jeshi la mtu mmoja

RAIS wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli ameanza kazi kwa staili ambayo si mpya hapa nchini.

Yahya Msangi

 

11 years ago

Mwananchi

Nkamia: Kazi nyingi jamani lazima kugombea

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amewataka watu kutong’ang’ania kuwania uongozi kwani kuna kazi nyingi za kufanya mbali ya kuongoza katika klabu za Simba na Yanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari

Utafiti umeeleza kuwa Watu wanaofanya kazi kwa saa nyingi wako hatarini kupata kiharusi

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Baada kufanya kazi na Thea, Wastara na Wellu, pendekeza nani tufanyenae kazi tena?..soma vigezo

Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen  “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni, tumeona sio mbaya kulukuletea hapa na wewe uchangie. Nakuu;

“Wakati naanda mzee wa swaga niliomba mapendekezo mkachagua wengi hatimaye tukawapata Thea,Wastara na Wellu nakubali mapendekezo yenu sana.

Lakini sera ya kampuni ni kujaribu kuwapa nafasi wasanii ambao wana majina lakini sio makubwa ila wana vipaji ili tutengeneze mastaa wengi.

Swali safari hii tumpe nani nafasi ambae unaona anakipaji lakini...

 

10 years ago

Habarileo

‘Tukatae umaskini kwa kufanya kazi kwa bidii’

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Dk Mary Nagu amewataka wananchi kuukataa umaskini kwa kufanya kazi kwa bidii ili kujenga taifa lenye watu wenye nguvu na uwezo wa kulitumikia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfugale: “Waandishi jiepusheni na ushabiki wa kisiasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”

DSC01123

Baadhi ya waandishi wa habari kutoka mikoa ya Singida, Kigoma, Katavi, Tabora na Shinyanga, wanaohudhuria mafunzo ya siku tano ya uandishi bora wa uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC01125

DSC01130

Mkufunzi Deodatus Mfugale, akitoa mada yake ya daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.

Na Nathaniel Limu,...

 

11 years ago

GPL

MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI

MTEMBEA KWA MIGUU ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA JOFREY MWIDINDA (28) MKAZI MBUYUNI AMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA KUGONGWA NA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI IT 3818 AINA YA TOYOTA COROLA LILILOKUWA LIKIENDESHWANA FRANK NDEGA (30) MKAZI WA SINZA JIJINI DSM. TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 30.04.2014 MAJIRA YA SAA 06:30 ASUBUHI HUKO KATIKA KIJIJI CHA MBUYUNI, KATA YA MAPOGORO, TARAFA YA RUJEWA, WILAYA YA MBARALI, MKOA WA MBEYA...

 

10 years ago

Bongo Movies

TETESI:Patcho Mwamba Apokea Kichapo Kizito Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mtu

Inasemekana kuwa mwigizaji  na mwanamuziki wa Dansi Patcho Mwamba, amepewa kipigo cha nguvu hadi kumvimbisha uso kama unavyomuona hapo juu, baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.

Habari hizi zinaenea kwa kasi zaidi mtandaoni kama moto wa vifuu…hakuna taarifa rasmi juu ya kinanani ,na wapi hasa tukilo hilimetokea,japokuwa inasemekanai ni siku ya krismas (jana) .Hadi sasa sio Patcho mwenyewe au watu wake wakaribu hawajajitokeza kukanusha taarifa hizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani