Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgogoro wa maiti Moshi waingia siku ya 43 leo

Mgogoro wa kifamilia kuhusu mwenye haki ya kuzika mwili wa Rosemary Marandu (38), umeingia siku ya 43 leo, huku ukiendelea kuhifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya KCMC.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maiti yakaa mochwari siku 34, kisa mgogoro wa wazazi

 Mgogoro mwingine mkubwa wa kifamilia wa kugombea maiti, umeibuka mjini Moshi na kusababisha mwili wa Rosemary Marandu (38), kuhifadhiwa mochwari kwa siku 34.

 

10 years ago

GPL

HALI TETE, MGOMO WA MADEREVA WAINGIA SIKU YA PILI LEO

Taswira nzima ya mabasi yaendayo mikoani katika Stendi ya Ubungo. MGOMO wa madereva umeingia siku ya pili leo baada ya kuanza jana asubuhi huku wakazi mbalimbali wakiwemo wa jijini Dar wakilazimika kutembea kwa mguu kwenda kwenye maeneo yao ya kufanyia shughuli za kila siku. Wananchi wakiwa wametaharuki katika eneo la Ubungo kutokana na mgomo unaoendelea. Mitaa mbalimbali… ...

 

10 years ago

GPL

KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO

Beyonce na Jay Z katika pozi. MWANAMUZIKI Beyoncé Giselle Knowles 'Beyonce' na mumewe Shawn Corey Carter 'Jay Z' wameripotiwa kuwa kwenye mgogoro tena huku mwanamuziki Rihanna akihusishwa. Wanandoa hao wapo kwenye mgogoro kutokana na simu ya siri ambayo Jay Z anadaiwa kuitumia kuwasiliana na Rihanna pasipo Beyonce kujua. Wanaume wengi wana simu za siri ambazo hutumia kuwasiliana na watu wao kwa siri, ila mara nyingi wanakuwa...

 

9 years ago

StarTV

Mgogoro Wa Ardhi Kilosa Viongozi waliomaliza muda Tindiga waingia lawamani

Mgogoro uliozuka kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Tindiga wilayani Kilosa na kusababisha wakulima 16 kujeruhiwa baada ya kupigwa na wafugaji wa jamii ya kimasai umebainika kukuzwa na viongozi wa serikali ya kijiji hicho waliomaliza muda wao ambao walihodhi maeneo makubwa ya mashamba ya kijiji na kuyakodisha kwa wageni wakiwemo   wafugaji.

Aidha viongozi hao wanaidaiwa kuwasaliti wanakijiji na uongozi wa kijiji ulioko madarakani kwa kutoa siri za vikao vinavyojadili mikakati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti iliyokuwa ikigombewa Moshi yazikwa

Hatimaye mwili wa Rosemary Marandu uliohifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa siku 53 umezikwa huku maziko hayo yakigubikwa na utata na kuhudhuriwa na wanaume sita.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgogoro Kiwanda cha kahawa Moshi wafukuta

Kiwanda cha Kukoboa Kahawa cha Tanganyika (TCCCO) kimeshikilia msimamo wake wa kuuza baadhi ya majengo yake ili kununua mitambo mipya na ya kisasa ya kukoboa kahawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ethiopia: Uchaguzi waingia siku ya pili

Uchaguzi nchini Ethiopia umeingia siku yake ya pili katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo.

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2

maittiBryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).maitinBryanmaitiiBaiskeli aliyozawadiwa Bryan.

Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S

— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015

Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015

Donations have come from police, people dropping off at districts, other...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani