Mgombea Urais CCM Julai 12
MGOMBEA Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) atajulikana Julai 12 mwaka huu baada ya kukamilisha mchakato mzima wa kuomba kuwania nafasi hiyo, kutafuta wadhamini na kujadiliwa katika chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s72-c/c16.jpg)
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-cgFeqyGylw4/VcC04r9_5zI/AAAAAAAAcCQ/omhO-aOQrNk/s640/c16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-283YW3zqPqY/VcC04hc0ZFI/AAAAAAAAcCM/6Yn8L0MksWw/s640/c17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1hklPGs6_4/VcC04dfGx7I/AAAAAAAAcCI/tK03pjoNSxE/s640/c18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dQMFnDG46-o/VcC050ISKbI/AAAAAAAAcCg/wczVQE642p4/s640/c19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4K6YSo9YezA/VcC06IaqWuI/AAAAAAAAcCk/btgG3CzKLYc/s640/c20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C-vbmMMYATo/VcC06oLLGlI/AAAAAAAAcCo/Uf0oA3y06vw/s640/c21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i0L0gdBbxR0/VcC06wBZ0uI/AAAAAAAAcCs/ilzWOvRdpY8/s640/c22.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mXP8dksn-Zk/VcC07ngiiFI/AAAAAAAAcC8/EDURRoHq4gc/s640/c23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vFq-Sn-LLws/VcC08FuPX5I/AAAAAAAAcDI/2JMLVef8exk/s640/c24.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DnF2HuD2N6s/VZuqkU8-GTI/AAAAAAAAgp8/sbVR7JhJHHo/s72-c/1.jpg)
TAREHE 11 JULAI CCM KUMTANGAZA MGOMBEA WAKE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DnF2HuD2N6s/VZuqkU8-GTI/AAAAAAAAgp8/sbVR7JhJHHo/s640/1.jpg)
“Leo tarehe 7 mwezi wa saba tunaanza vikao vya mchakato wa mkutano mkuu wa taifa wa CCM ambao unnategemewa pamoja na mambo mengine utapitisha ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-20 20 lakini pia utateua mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia CCM, na pia kutakuwa na kikao cha halmashauri kuu ambacho...
10 years ago
Mwananchi14 Jan
‘Hatufukuzi mgombea urais CCM’
10 years ago
Mwananchi14 May
Sifa kumi za mgombea urais wa CCM
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mfahamu Magufuli mgombea urais wa CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GsuXCbGfOQAYXI4VslD0ocqMkC4gFvKM*pzffdurbMxZeWI5kWvm*djCj3PDvMGWW7ha-hefaX1AZOKHWKI0KQm0/IMG20150710WA0034.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mgombea urais wa CCM apata mkong’oto
10 years ago
StarTV13 Jul
Dr.John Magufuli ndiye mgombea urais CCM.
Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza daktari John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa ujao.
Daktari John Magufuli, alisajili asilimia 87 % ya kura za wajumbe, hiyo ikiwa ni kura 2104.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/07/12/150712095247_ccm_je__dr_john_magufuli__ndiye__624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kwa mujibu wa akaunti ya twitter ya CCM ametapata asilimia 87% ya kura za wajumbe
Bi Amina Salulm Ali alimaliza katika nafasi ya pili akiwa na asilimia 10.5 % ya kura zote ikiwa ni sawa na kura 253.
Dk. Asha-Rose Migiro akijizolea asimilia tatu ya...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
MAONI: Pongezi CCM kumpata mgombea urais