Mh. Al Shaimar kwa ushirikiano na Bayport wa wazitembelea familia za watoto Albino waliopoteza maisha Jijini Mwanza
Meneja Mauzo wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services Kanda ya Ziwa, Lugaano Kasambala, akimpa pole Ester Jonas, mama wa Yohana Bahati, mtoto mwenye ulemavu wa ngozi albino, aliuawa mkoani Mwanza, hivi karibuni. Mama huyo anatibiwa katika Hospitali ya Bugando baada ya kupata mareraha katika tukio la kuvamiwa na kuporwa mtoto wake. Kulia kwa Kasambala ni Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaimar Kweigyir mwenye miwani waliyeambatana katika safari hiyo kwa ajili ya kuwapa pole na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GlX85sULmO8/Uy3SQ73ffCI/AAAAAAAFVq4/wuOwf6P9GB4/s72-c/31.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AHANI MSIBA WA WATOTO WAWILI WALIOPOTEZA MAISHA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA CHA MAJI,KIWANGWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GlX85sULmO8/Uy3SQ73ffCI/AAAAAAAFVq4/wuOwf6P9GB4/s1600/31.jpg)
10 years ago
GPLHONGERA BAYPORT: JICHO LENU KWA ALBINO LINA MAANA KWA TAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kBppvdpLRFg/VPYFABJ4emI/AAAAAAAAIh8/HeU_lsfVw3Y/s72-c/20150302_145845_resized.jpg)
TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services yazindua tawi lake jipya wilayani Kwimba jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-kBppvdpLRFg/VPYFABJ4emI/AAAAAAAAIh8/HeU_lsfVw3Y/s1600/20150302_145845_resized.jpg)
10 years ago
MichuziWARSHA YA STADI ZA MAISHA NA AFYA YA UZAZI KWA WARATIBU WA UKIMWI YAFANYIKA LEO JIJINI MWANZA
Mratibu wa Ukimwi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bw,Musa Varisanga(Aliyevaa Miwani) akifurahia jambo na Mratibu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qgSCQmBKkgc/VO-Bj_afkBI/AAAAAAAAIfY/1uEf9KbElts/s72-c/Mgonjwa.jpg)
Mh. Al Shaimar Kweigyir amtembelea majeruhi wa tukio la uporwaji wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qgSCQmBKkgc/VO-Bj_afkBI/AAAAAAAAIfY/1uEf9KbElts/s1600/Mgonjwa.jpg)
Katika ziaraa hiyo kwenye Hospitali ya Bugando jijini Mwanza, Mh Shaimar aliongozana pia na Katibu Tawala Msaidizi wa Ofisi ya Mkoa wa Mwanza, Crencencia Joseph na August Tesha, ambaye ni Meneja wa Bayport Financial Services mkoani Mwanza.
Wakiwa Hospitali ya Bugando, Mbunge Shaimar na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
NAIBU WAZIRI WIZARA YA USHIRIKIANO ATEMBELEA MELI YA RV JUMUIYA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RTYfRfMDcC8/VD7aO21bZTI/AAAAAAAGqyQ/NpWhm2lzfco/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNTtY_p5Q4k/VD7aP3igLwI/AAAAAAAGqyo/L0CHuCKtfzw/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RWFvfYmJctg/VA1s0EjRydI/AAAAAAAGhp8/Uqyg-EfKNDE/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MWANAHARAKATI KHADIJA LIGANGA ATOA SEMINA YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO KWA VIJANA ZAIDI YA 100 JIJINI MWANZA
Semina hiyo iliyoandaliwa na Teen Club Mwanza, ililenga Kujenga uwezo wa kutambua ukatili na unyanyasaji wa...
11 years ago
Dewji Blog07 May
Waliopoteza maisha katika ajali Ikungi waombewa
Diwani wa kata ya Mungaa Matheo Alex akizungumza kwenye hafla ya sala kuwaombea watu waliopoteza maisha baada ya kugongwa na basi la kampuni ya summary aprili 28 mwaka huu.Sala hiyo maalum,imefanyika jana eneo ilikotokea ajali hiyo.
Mke wa marehemu mwenyekiti wa kijiji cha Utaho Paulo Hamisi (41) aliyefariki dunia kwa kugongwa na basi la Summry Aprili 28 mwaka huu.
![DSC08213](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC08213.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-UTGEExdkR6E/VWmVK7qJDrI/AAAAAAABwbM/Zo_8IUYr2do/s72-c/UN%2B1.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WA WAENZI WALINDA WA AMANI WALIOPOTEZA MAISHA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-UTGEExdkR6E/VWmVK7qJDrI/AAAAAAABwbM/Zo_8IUYr2do/s640/UN%2B1.jpg)