Mh. Al Shaimar Kweigyir amtembelea majeruhi wa tukio la uporwaji wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qgSCQmBKkgc/VO-Bj_afkBI/AAAAAAAAIfY/1uEf9KbElts/s72-c/Mgonjwa.jpg)
Na Mwandishi Wetu, MwanzaMbunge wa kuteuliwa, Al Shaimar Kweigyir, amtembelea majeruhi wa tukio la uporwaji wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi albino,Yohana Bahati, aliyetekwa nyara na kukutwa akiwa amekufa.
Katika ziaraa hiyo kwenye Hospitali ya Bugando jijini Mwanza, Mh Shaimar aliongozana pia na Katibu Tawala Msaidizi wa Ofisi ya Mkoa wa Mwanza, Crencencia Joseph na August Tesha, ambaye ni Meneja wa Bayport Financial Services mkoani Mwanza.
Wakiwa Hospitali ya Bugando, Mbunge Shaimar na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s72-c/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
TANZIA: Mama mzazi wa katibu wa mbunge Al Shaimar Kweigyir afariki dunia leo Kibaha, Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-gX5VlTgRrDs/VPRsEEI8zCI/AAAAAAAAIhg/AxclXwC5W6o/s1600/Kingaru%2Bkulia%2Bakiwa%2Bna%2Bmama%2Byake.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s72-c/DSC_0176.jpg)
WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) WATOAFAUTIANA KUHUSU MAANDAMANO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s1600/DSC_0176.jpg)
Kamati ya kuratibu mapambano ya kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)umepingana na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Watu...
9 years ago
StarTV23 Dec
Jeshi la Polisi laombwa kuweka ulinzi maalumu kuwalinda watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino)
Chama watu wenye ulemavu wa ngozi Albino Mkoa wa Tanga kimeliomba jeshi la polisi kuweka ulinzi maalumu kwenye maeneo yenye walemavu hao kama sehemu ya kukabiliana na ukataji wa viungo na mauaji ya watu hao.
Kauli ya chama hicho imekuja baada ya mlemavu mwenzao wa ngozi Ester Maganga mkazi wa wilaya ya Lushoto kukatwa kidole chake cha mkono wa kusoto kwa imani za kishirikina.
Katibu wa chama cha Albino Mkoa wa Tanga, Mahmud Salekhe amesema kitendo cha Mwenzao Ester Maganga mkazi wa...
10 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) KATIKA SHULE YA MSINGI YA MATUMAINI YA JESHI LA WOKOVU ILIYOPO KURASINI
10 years ago
Vijimambo18 Mar
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc4tqLoeCL89vyp8P-OFzZoG0wJEpY4r7wYFyto0aSWrzOUMp8BtdGSmdlOEAtwMNKz9jJ8adEqCOwdcaUPzOv9v/unnamed2.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVm2XXwOEwM/VO62MqHot6I/AAAAAAAHF8E/8ND71291Uas/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
10 years ago
MichuziMh. Al Shaimar kwa ushirikiano na Bayport wa wazitembelea familia za watoto Albino waliopoteza maisha Jijini Mwanza
10 years ago
Michuzi03 Dec