MH. MKAPA AZITAKA JAMII ZA KIAFRIKA KUWA NA UELEWA WA KUTOSHA KUHUSU MAMBO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Mhe. Benjamini William Mkapa amezitaka jamii nyingi za kiafrika kuwa na uelewa wa kutosha kuhusiana na mchango wa sayansi na teknolojia katika kuleta maendeleo nchini.
Mhe. Mkapa ameyasema hayo wakati alipokuwa akifungua mkutano wa Jiolojia uliowakutanisha wataalam mbalimbali wa mambo ya jiolojia ulimwenguni akiwa ameongozana na Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo pamoja na Naibu Waziri wake, Mhe. Stephen Masele.
Mhe. Mkapa ameeleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mkapa azitaka jamii za Kiafrika kuwa na uelewa wa kutosha kuhusu mambo ya Sayansi na Teknolojia
Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Na Benedict Liwenga-MAELEZO.
RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Mhe. Benjamini William Mkapa amezitaka jamii nyingi za kiafrika kuwa na uelewa wa kutosha kuhusiana na mchango wa sayansi na teknolojia katika kuleta maendeleo nchini.
Mhe. Mkapa ameyasema hayo wakati alipokuwa akifungua mkutano wa Jiolojia...
10 years ago
Michuzijamii inapaswa kuwekeza katika sayansi na teknolojia - Balozi Sefue
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa ili jamii iweze kukua kwa kasi na kupata maendeleo haina budi kuwekeza katika sayansi na teknolojia.
Aliongea hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa warsha ya kupitia marejeo ya mfumo wa Taifa wa sayansi,teknolojia na ubunifu ulioandaliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
“ubunifu katika sayansi na teknolojia ni kitu muhimu katika kupata uvumbuzi wa vitu mbalimbali muhimu vinavyoleta maendelao...
10 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Vijimambo08 May
11 years ago
Michuzi28 Mar
10 years ago
Vijimambo17 Nov
WAZIRI MEMBE AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU SAYANSI YA JAMII
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MWAMINI MALEMI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU KUHUSU TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA ULINZI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XkCIgAhsVVc/VYP8MZZ-A3I/AAAAAAAHhas/rCmaYDJU0tc/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Tutajuta tusipowekeza katika sayansi, teknolojia
10 years ago
Habarileo17 Mar
Sefue asisitiza matumizi ya sayansi, teknolojia
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ili nchi iweze kuendelea ni lazima iwekeze katika sayansi, teknolojia na ubunifu na kuhamasisha vijana kuwa wavumbuzi wa mambo.