Mh. Ummy Mwalimu ziarani jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-v3O0i8YCnK4/VL-1GIyD0YI/AAAAAAAG-u8/ICyFcVXzQdE/s72-c/20150120_120450.jpg)
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Ummy Mwalimu akiongea na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha Bw. Fidelis Lumato mara baada ya kutembelea kiwanda cha A –Z cha Jijini hapo kukagua masuala ya Mazingira.
picha zaidi bofya hapa
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKITETA JAMBO NA WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU BUNGENI LEO JIJINI DODOMA.
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mh. Ummy Mwalimu akutana na wadau wa Tiba Asili
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo na wadau wa Tiba Asili, ofisini kwake makao makuu ya wizara hiyo.
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Ummy Mwalimu: Wakuu wa mikoa hakikisheni mnapambana na kipindupindu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kushoto)akisoma taarifa yake na kulia kwake ni Naibu Waziri, Dk. Hamis Kigwangala anayesaidiana naye wizarani hapo, wakizungumza na wanahabari.
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameagiza wakuu wa mikoa, wilaya na kata kuhakikisha wanakuwa na kikosi kazi cha kupambana na kipindupindu na kutoa ripoti ya utekelezaji kwa ngazi za juu kila siku.
Akizungumza na wanahabari leo jijini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wSIN4obw9o4/XqGql016cvI/AAAAAAALoB4/lurbBxaQQf4kbPNhbDWd7RrFCb7RbPBiQCLcBGAsYHQ/s72-c/7b32687d-4455-4fda-9748-b38fe8a08f55.jpg)
WATOA HUDUMA ZA AFYA MSIWAKIMBIE WAGONJWA-WAZIRI.UMMY MWALIMU
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka wahudumu wa afya nchini kufuata kanuni na miongozo iliyopo katika kutoa huduma kwa wagonjwa kwa kufanya hivyo wataweza kuepuka kupata maambukizi kutoka kwa wagonjwa wanaowahudumia.
Rai hiyo imetolewa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa vya kunawia mikono 100 vyenye ujazo wa lita 500 kutoka kwa Shirika lisiyo la kiserikali la Water Mission...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QhZHQsXELy0/VHLkGCY9rNI/AAAAAAAGzGc/Taz0XinfTk4/s72-c/20141122_124448.jpg)
Mh. Ummy Mwalimu katika ziara ya kikazi Wilaya za Mkinga na Pangani
![](http://3.bp.blogspot.com/-QhZHQsXELy0/VHLkGCY9rNI/AAAAAAAGzGc/Taz0XinfTk4/s1600/20141122_124448.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J0H6pPPnyJU/VHLkGXdgrgI/AAAAAAAGzGU/qGaJqz95BZ0/s1600/20141122_131128.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gEucMqUfljA/XneLi2rTtDI/AAAAAAALku4/homRKs0S4lUIW29vkTC-zg3E0oGfnsofQCLcBGAsYHQ/s72-c/9c6e60b0-d397-4065-b733-ea2efc936198.jpg)
WAZIRI UMMY MWALIMU AKUTANA NA TAASISI YA SEKTA BINAFSI-TPSF
Na. WAMJW-DSM
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu leo amekutana na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na kujadili namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona (COVID-19) nchini.
Katika kikao hicho, Waziri Ummy Mwalimu ameshukuru baraza hilo kwa kushirikiana na Sekta ya afya katika mapambano ya ugonjwa huo.
”Mchango wa sekta binafsi mkiwamo nyie wafanyabiashara ni muhimu kwani mtaleta manufaa makubwa katika mapambano haya,” amesema Waziri Ummy...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JnDAldQkyVU/XrqjlUGOE7I/AAAAAAALp80/v4wUEREwqOAgwQIpv42WFrzHCqbeXvKMgCLcBGAsYHQ/s72-c/798e25e2-e89b-4242-b4ff-d994177dc523.jpg)
Ummy Mwalimu: Tutandelea kutoa ajira kwa wauguzi nchini
Serikali imesema itaendelea kutoa kipaumbele katika ajira za wauguzi kadri nafasi zitakavyokuwa zikipatikana ili kuboresha huduma za afya nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza na watumishi wa hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mwananyamala katika Maadhimisho ya Siku ya Waguzi Duniani ambayo huadhimishwa tarehe 12 Mei kila mwaka. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Wauguzi; Sauti inayoongoza...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Waziri Ummy Mwalimu na Naibu wake Dk. Kigwangala waripoti wizarani leo
Gari la Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu likiwasili Makao Makuu ya wizara hiyo na kupokelewa kwa saluti mara tu baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli katika sherehe zilizofanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akipokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Donan Mmbando mara tu...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Waziri Ummy Mwalimu aanzisha “Mpishe mzee kwanza apate hudumaâ€
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Tanga, wakati akitoa mwelekeo wa vipaumbele vyake kwa wazee wa Tanzania kupitia kwa wazee wa mkoa wa Tanga.
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu ameagiza vituo vyote vya serikali vya kutolea huduma za afya nchini, kuweka anuniani inayosema”Mpishe mzee kwanza apate huduma”.
Ametaka...