MHE. FREDERICK SUMAYE ALIPOCHUKUA FOMU DODOMA

Waziri Mkuu mstaafu wa awamu ya tatu Mheshimiwa Bw.Frederick Sumaye alitinga katika ofisi za makao makuu ya Chama cha Mapinduzi mkoani Dodoma kuchukua fomu za mbio za urais 2015 akiwa ameongozana na mke wake Mama Esther Sumaye. Hapa akiweka saini mbele ya Katibu wa Oganaizesheni wa CCM , Dk Mohamed Seif Khatib
Mhe Sumaye akionesha fomu baada ya kukabidhiwa
Mhe Sumaye akionesha mkoba uliobeba fomu baada ya kukabidhiwa. Pembeni ni mkewe Mama Esther Sumaye
Mhe Sumaye akiaga baada ya kuchukua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MHESHIMIWA FREDERICK SUMAYE ALIPOCHUKUA FOMU DODOMA


11 years ago
Mtanzania07 Oct
Vita ya Frederick Sumaye, Mary Nagu ngoma nzito

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye
NA MWANDISHI WETU, HANANG’
MGOGORO wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati ya Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, unaendelea kufukuta.
Hatua hiyo inatokana na viongozi wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) Wilaya ya Hanang’ kugawanyika kuhusu uteuzi wa Sumaye kuchukua nafasi ya Nagu kuwa kamanda wa UVCCM wa wilaya hiyo.
Wakizungumza juzi, vijana hao walisema...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
NEWS ON SITE: Waziri Mkuu Frederick Sumaye ajiunga rasmi UKAWA!!
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akiwa katika meza kuu akitangaza rasmi kukihama chama cha Mapinduzi CCM na kujiunga na UKAWA mapema mchana wa leo Agosti 22.2015. kwa kile alichokieleza mwenendo mbovu wa CCM katika uteuzi wa mgombea Urais ndani ya Chama hicho hivi karibuni
Andrew Chale, modewjiblog
(Kunduchi-Kinondoni) Tayari Taifa la Tanzania ambalo kwa sasa limeanza rasmi kwenye kinyang’anyiro cha Urais, mchana wa leo Agosti 22, 2015 – Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye,...
10 years ago
Vijimambo22 Aug
Dakika 15 za Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye alivyotangaza kujiunga UKAWA.. (+Audio)

10 years ago
Vijimambo
BREAKING NEWS: ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA ZAMANI MH. FREDERICK SUMAYE AJIUNGA RASMI NA UKAWA

Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
Dewji Blog26 Dec
Frederick Sumaye: Kuweni na hofu ya Mungu, naye atasikia maombi yenu kama taifa
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha Mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika...
11 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU MSTAAFU,MH.FREDERICK SUMAYE AZINDUA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO JIJINI DAR


10 years ago
Vijimambo.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATEMBELEA UWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA NEW YORK
.jpg)