Vita ya Frederick Sumaye, Mary Nagu ngoma nzito
Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye
NA MWANDISHI WETU, HANANG’
MGOGORO wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati ya Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, unaendelea kufukuta.
Hatua hiyo inatokana na viongozi wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) Wilaya ya Hanang’ kugawanyika kuhusu uteuzi wa Sumaye kuchukua nafasi ya Nagu kuwa kamanda wa UVCCM wa wilaya hiyo.
Wakizungumza juzi, vijana hao walisema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Mary Nagu azinduzi kampeni za CCM Arusha
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi mgombea Ubunge pamoja na madiwani katika uzinduzi wa kampeni jimbo la Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini Arusha.(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha).


Mbunge jimbo la Arusha mjini kupitia Chama cha...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Mary Nagu uzinduzi kampeni za CCM Arusha

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi mgombea Ubunge pamoja na madiwa katika uzinduzi wa kampeni jimbo la Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini Arusha.(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha).


Mbunge jimbo la Arusha mjini kupitia Chama cha...
10 years ago
Michuzi07 Sep
MARY NAGU UZINDUA KAMPENI ZA CCM ARUSHA



10 years ago
Mwananchi14 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mary Nagu
10 years ago
Michuzi
MHE. FREDERICK SUMAYE ALIPOCHUKUA FOMU DODOMA




10 years ago
Vijimambo
MHESHIMIWA FREDERICK SUMAYE ALIPOCHUKUA FOMU DODOMA


11 years ago
Michuzi
WAZIRI MARY NAGU AFUNGUA WARSHA YA WAFANYABIASHARA NA WATOA HUDUMA SEKTA YA FEDHA


10 years ago
TheCitizen09 Sep
Nagu : CCM still needs Sumaye
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
NEWS ON SITE: Waziri Mkuu Frederick Sumaye ajiunga rasmi UKAWA!!
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akiwa katika meza kuu akitangaza rasmi kukihama chama cha Mapinduzi CCM na kujiunga na UKAWA mapema mchana wa leo Agosti 22.2015. kwa kile alichokieleza mwenendo mbovu wa CCM katika uteuzi wa mgombea Urais ndani ya Chama hicho hivi karibuni
Andrew Chale, modewjiblog
(Kunduchi-Kinondoni) Tayari Taifa la Tanzania ambalo kwa sasa limeanza rasmi kwenye kinyang’anyiro cha Urais, mchana wa leo Agosti 22, 2015 – Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye,...