Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nagu : CCM still needs Sumaye

Hanang’ parliamentary seat candidate on Chama Cha Mapinduzi (CCM) ticket Mary Nagu has pleaded with former Prime Minister Frederick Sumaye to consider returning to the ruling party, saying the country’s oldest political outfit valued his contribution and that it still needed him.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Vita ya Frederick Sumaye, Mary Nagu ngoma nzito

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye

NA MWANDISHI WETU, HANANG’

MGOGORO wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati ya Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, unaendelea kufukuta.

Hatua hiyo inatokana na viongozi wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) Wilaya ya Hanang’ kugawanyika kuhusu uteuzi wa Sumaye kuchukua nafasi ya Nagu kuwa kamanda wa UVCCM wa wilaya hiyo.

Wakizungumza juzi, vijana hao walisema...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mary Nagu uzinduzi kampeni za CCM Arusha

SAM_5821

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi mgombea Ubunge pamoja na madiwa katika uzinduzi wa kampeni jimbo la Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini Arusha.(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha).

SAM_5835 Umati wa watu uliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za CCM jimbo la Arusha mjini katika eneo la soko kuu jijini Arusha, ambapo rasmi walizindua kampeni za ubunge na udiwani SAM_5823

Mbunge jimbo la Arusha mjini kupitia Chama cha...

 

9 years ago

Michuzi

MARY NAGU UZINDUA KAMPENI ZA CCM ARUSHA



SAM_5821Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi mgombea Ubunge pamoja na madiwa katika uzinduzi wa kampeni jimbo la Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini Arusha(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha)SAM_5835Umati wa watu uliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za ccm jimbo la Arusha mjini katika ene la soko kuu jijini Arusha,ambapo rasmi walizindua kampeni za ubunge na udiwaniSAM_5823Mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia chama...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mary Nagu azinduzi kampeni za CCM Arusha

SAM_5821

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi mgombea Ubunge pamoja na madiwani katika uzinduzi wa kampeni jimbo la Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini Arusha.(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha).

SAM_5835 Umati wa watu uliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za CCM jimbo la Arusha mjini katika eneo la soko kuu jijini Arusha, ambapo rasmi walizindua kampeni za ubunge na udiwani SAM_5823

Mbunge jimbo la Arusha mjini kupitia Chama cha...

 

9 years ago

Mtanzania

Sumaye: CCM haishindi

IMG_5192*Asema mizani haijalalia upande mmoja, aponda utafiti wa Makamba

 

HERIETH FAUSTINE NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema endapo haki itatendeka kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitashinda kwa sababu mwaka huu mizani haijalalia upande mmoja kama ilivyozoeleka.

Sumaye aliyasema hayo jana wakati akihojiwa moja kwa moja katika kipindi cha Funguka na Kituo cha Televisheni cha Azam, jijini Dar es Salaam.

Alisema endapo kanuni na...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sumaye aibua mazito CCM

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa uliyofanyika Manyoni, Singida juzi. Na Thobias Mwanakatwe 13th September 2015 Kipindi cha utawala wa CCM […]

The post Sumaye aibua mazito CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Sumaye ajibu mapigo ya CCM

Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa huku akianika uozo wa Serikali.

 

9 years ago

TheCitizen

We’ll deal with sumaye if he continues attacks : CCM

The rulling CCM has warned former prime minister Fredrick Sumaye to refrain from subjecting the party to scathing attacks, promising that it will deal with him.

 

10 years ago

TheCitizen

Sumaye: This delay could cost CCM dearly

Dodoma. Former Prime Minister Frederick Sumaye has warned CCM that its delay in nominating candidates could hurt it in this year’s General Election.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani