Sumaye: CCM haishindi
*Asema mizani haijalalia upande mmoja, aponda utafiti wa Makamba
HERIETH FAUSTINE NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema endapo haki itatendeka kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitashinda kwa sababu mwaka huu mizani haijalalia upande mmoja kama ilivyozoeleka.
Sumaye aliyasema hayo jana wakati akihojiwa moja kwa moja katika kipindi cha Funguka na Kituo cha Televisheni cha Azam, jijini Dar es Salaam.
Alisema endapo kanuni na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen09 Sep
Nagu : CCM still needs Sumaye
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Sumaye aibua mazito CCM
Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa uliyofanyika Manyoni, Singida juzi. Na Thobias Mwanakatwe 13th September 2015 Kipindi cha utawala wa CCM […]
The post Sumaye aibua mazito CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Sumaye ajibu mapigo ya CCM
9 years ago
TheCitizen22 Aug
Sumaye decamps CCM, joins Ukawa
10 years ago
TheCitizen01 May
Sumaye: This delay could cost CCM dearly
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Sumaye: Rushwa ikizidi CCM nitajiondoa
9 years ago
Mwananchi22 Aug
Sumaye ajitoa CCM, ajiunga Ukawa
9 years ago
TheCitizen15 Sep
We’ll deal with sumaye if he continues attacks : CCM
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11904029_1297943290220086_1190103840626061713_n.jpg?width=650)
SUMAYE AITOSA CCM, AJIUNGA UKAWA