SUMAYE AITOSA CCM, AJIUNGA UKAWA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11904029_1297943290220086_1190103840626061713_n.jpg?width=650)
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye akiongea na wanahabari. Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, leo  amekihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Sumaye amejiunga rasmi na Ukawa wakati wa mkutano wa wanahabari na viongozi wa Umoja huo,  mkutano uliofanyika mchana wa leo katika ukumbi wa hoteli ya Kunduchi jijini Dar. Aidha Sumaye hakusema ni chama gani amejiunga...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Aug
Sumaye ajitoa CCM, ajiunga Ukawa
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
NEWS ON SITE: Waziri Mkuu Frederick Sumaye ajiunga rasmi UKAWA!!
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akiwa katika meza kuu akitangaza rasmi kukihama chama cha Mapinduzi CCM na kujiunga na UKAWA mapema mchana wa leo Agosti 22.2015. kwa kile alichokieleza mwenendo mbovu wa CCM katika uteuzi wa mgombea Urais ndani ya Chama hicho hivi karibuni
Andrew Chale, modewjiblog
(Kunduchi-Kinondoni) Tayari Taifa la Tanzania ambalo kwa sasa limeanza rasmi kwenye kinyang’anyiro cha Urais, mchana wa leo Agosti 22, 2015 – Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye,...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ToghXaov_KM/Vdhq5RcpqTI/AAAAAAABURo/7lVDTeMwG_Y/s72-c/frederick-sumaye.jpg)
BREAKING NEWS: ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA ZAMANI MH. FREDERICK SUMAYE AJIUNGA RASMI NA UKAWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ToghXaov_KM/Vdhq5RcpqTI/AAAAAAABURo/7lVDTeMwG_Y/s640/frederick-sumaye.jpg)
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mjumbe wa CCM ‘ajiunga’ Ukawa
9 years ago
TheCitizen22 Aug
Sumaye decamps CCM, joins Ukawa
9 years ago
TheCitizen23 Aug
I’ll assist Ukawa presidential hopeful to beat CCM : Sumaye
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA
Habari tulizozipata live kutoka kituo cha ITV ni kwamba Waziri wa zamani wa serikali ya Mkapa, ameamua rasmi kujitoa CCM baada ya kutotendewa haki na chama hicho. ” Sijiungi na upinzani kwa maslahi binafsi,sitaki cheo,sijachukua pesa, […]
The post Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRECK SUMAYE AONDOKA CCM NA KUJIUNGA NA UKAWA
10 years ago
Vijimambo20 Jul
Bulaya aitosa CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Bulaya-20July2015.jpg)
Hali imeendelea kuwa tete ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum CCM mkoa wa Mara, Ester Bulaya, kutangaza kukitosa kwa kutangaza uamuzi wake wa kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.
Bulaya ambaye alikuwa mbunge machachari kabla ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuvunjwa na Rais Jakaya Kikwete, hivi karibuni , ametangaza kutogombea ubunge kupitia CCM wakati akizungumza na NIPASHE baada...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10