Bulaya aitosa CCM.
Mbunge wa Viti Maalum CCM mkoa wa Mara, Ester Bulaya.
Hali imeendelea kuwa tete ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum CCM mkoa wa Mara, Ester Bulaya, kutangaza kukitosa kwa kutangaza uamuzi wake wa kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.
Bulaya ambaye alikuwa mbunge machachari kabla ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuvunjwa na Rais Jakaya Kikwete, hivi karibuni , ametangaza kutogombea ubunge kupitia CCM wakati akizungumza na NIPASHE baada...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11904029_1297943290220086_1190103840626061713_n.jpg?width=650)
SUMAYE AITOSA CCM, AJIUNGA UKAWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4UL3OdrPwJkRWytOEqhHeM7hDaK3Qp1pGjokmauqTykftw12g3iL1TVoEnqrNyZgrNo68MVCG2xpmWBbJ816AYf/13.gif)
LEMBELI AITOSA RASMI CCM, AHAMIA CHADEMA
10 years ago
IPPmedia11 Nov
Ester Bulaya (Special Seats, CCM)
IPPmedia
IPPmedia
Lawmakers yesterday demanded explanation from the government on emergency plans it has lined up to rescue lives of Tanzanians who are suffering due to the shortage of medicines in hospitals after it failed to settle 90bn/- it owes the Medical Store ...
Govt set to issue statement on 102bn/- MSD debtDaily News
all 2
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM. ESTER BULAYA,AMEPOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA BUNDA
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia vijana (ccm) Ester Bulaya, amepokewa na maelfu ya wakazi wa Bunda baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na mendeleo CADEMA na kudai tayari amechukua na kurudisha fomu kwa ajili ya kuwania Ubunge wa jimbo la Bunda mjini kupitia chama hicho na kuahidi kushirikiana na wananchi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama na kusisitiza hataweza kuwaangusha wanabunda na watanzania wote.
9 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Cassper Nyovest aendelea kula bata Zanzibar na mpenzi wake Boity, aitosa show ya Maftown Heights
![12224667_784132751713827_1656881668_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12224667_784132751713827_1656881668_n-300x194.jpg)
Rapper anayezungumzwa zaidi nchini Afrika Kusini kwa sasa, Cassper Nyovest anaendelea kujipongeza na kufurahia mafanikio baada ya show yake ya #FillUpTheDome kwa vacation ndefu visiwani Zanzibar.
Rapper huyo na mpenzi wake Boity, bado wameendelea kufurahia mandhari za kuvutia za bahari ya Hindi visiwani humo kwenye hoteli za kitalii.
Kurasa zao za Instagram zinaonesha jinsi wanavyofurahia kwenye kisiwa hicho ikiwa ni pamoja na kula vyakula maarufu vya baharini.
Katika hatua nyingine,...
9 years ago
IPPmedia27 Oct
Esther Bulaya (Chadema)
IPPmedia
IPPmedia
Several CCM heavyweights including prominent ministers have lost their parliamentary seats, according to official results released yesterday. One of the big names who beaten in Sunday's General Election is Deputy Minister of State in the Prime Minister ...
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Bulaya alikoroga Bunda
UAMUZI wa vikao vya juu vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwapitisha wagombea ubunge bila ridhaa ya wanachama huenda ikaathiri mwenendo wa uchaguzi katika Jimbo la Bunda.
Taarifa kutoka jimboni humo zinasema kwamba uteuzi wa Esther Bulaya aliyeanguka kwenye kura za maoni jimboni humo, umekipasua chama hicho baada ya viongozi wote wa juu jimboni humo kusimamishwa kazi na baadaye kutangaza kuachia madaraka.
Esther alikuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) kabla ya kuamua...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Bulaya amvaa Wassira
10 years ago
TheCitizen21 Jul
Bulaya shuns Bunda contest