Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


We’ll deal with sumaye if he continues attacks : CCM

The rulling CCM has warned former prime minister Fredrick Sumaye to refrain from subjecting the party to scathing attacks, promising that it will deal with him.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Sumaye: CCM haishindi

IMG_5192*Asema mizani haijalalia upande mmoja, aponda utafiti wa Makamba

 

HERIETH FAUSTINE NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema endapo haki itatendeka kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitashinda kwa sababu mwaka huu mizani haijalalia upande mmoja kama ilivyozoeleka.

Sumaye aliyasema hayo jana wakati akihojiwa moja kwa moja katika kipindi cha Funguka na Kituo cha Televisheni cha Azam, jijini Dar es Salaam.

Alisema endapo kanuni na...

 

9 years ago

TheCitizen

Nagu : CCM still needs Sumaye

Hanang’ parliamentary seat candidate on Chama Cha Mapinduzi (CCM) ticket Mary Nagu has pleaded with former Prime Minister Frederick Sumaye to consider returning to the ruling party, saying the country’s oldest political outfit valued his contribution and that it still needed him.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sumaye aibua mazito CCM

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa uliyofanyika Manyoni, Singida juzi. Na Thobias Mwanakatwe 13th September 2015 Kipindi cha utawala wa CCM […]

The post Sumaye aibua mazito CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Sumaye ajibu mapigo ya CCM

Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa huku akianika uozo wa Serikali.

 

9 years ago

GPL

SUMAYE AITOSA CCM, AJIUNGA UKAWA

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye akiongea na wanahabari. Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, leo  amekihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Sumaye amejiunga rasmi na Ukawa wakati wa mkutano wa wanahabari na viongozi wa Umoja huo,  mkutano uliofanyika mchana wa leo katika ukumbi wa hoteli ya Kunduchi jijini Dar. Aidha Sumaye hakusema ni chama gani amejiunga...

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Rushwa ikizidi CCM nitajiondoa

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema iwapo misingi ya uchaguzi ndani ya CCM italalia kwenye rushwa, hataendelea kuwa mwanachama na kuonya kuwa tatizo hilo limefikia pabaya na litakiangusha chama hicho.

 

9 years ago

Mwananchi

Sumaye ajitoa CCM, ajiunga Ukawa

Historia imeendelea kuandikwa katika siasa za Tanzania baada ya leo, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kujitoa CCM na kujiunga na chama kimojawapo kinachounda Umoja wa Katiba ya Wananchi-(Ukawa).

 

10 years ago

TheCitizen

Sumaye: This delay could cost CCM dearly

Dodoma. Former Prime Minister Frederick Sumaye has warned CCM that its delay in nominating candidates could hurt it in this year’s General Election.

 

9 years ago

TheCitizen

Sumaye decamps CCM, joins Ukawa

Another major twist in Tanzania’s political terrain came up Saturday as Former Prime Minister Fredrick Sumaye defected to the Opposition.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani