Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Frederick Sumaye: Kuweni na hofu ya Mungu, naye atasikia maombi yenu kama taifa

1

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha Mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA - MH. SUMAYE:

1Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika kuombea...

 

10 years ago

Michuzi

FREDRICK SUMAYE: KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA

1Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika ...

 

10 years ago

Vijimambo

SUMAYE ATAKA WATANZANIA KUWA NA HOFU YA MUNGU

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha Mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika kuombea...

 

10 years ago

Vijimambo

MHESHIMIWA FREDERICK SUMAYE ALIPOCHUKUA FOMU DODOMA

Waziri Mkuu mstaafu wa hawamu ya tatu Mheshimiwa Bw.Frederick Sumayealitinga katika ofisi za makao makuu ya Chama cha Mapinduzi CCM kuchukuafomu za mbio za urais 2015

 

10 years ago

Michuzi

MHE. FREDERICK SUMAYE ALIPOCHUKUA FOMU DODOMA

 Waziri Mkuu mstaafu wa awamu ya tatu Mheshimiwa Bw.Frederick Sumaye alitinga katika ofisi za makao makuu ya Chama cha Mapinduzi mkoani Dodoma kuchukua fomu za mbio za urais 2015 akiwa ameongozana na mke wake Mama Esther Sumaye. Hapa akiweka saini mbele ya Katibu wa Oganaizesheni wa CCM , Dk Mohamed Seif Khatib Mhe Sumaye akionesha fomu baada ya kukabidhiwa Mhe Sumaye akionesha mkoba uliobeba fomu baada ya kukabidhiwa. Pembeni ni mkewe Mama Esther SumayeMhe Sumaye akiaga baada ya kuchukua...

 

11 years ago

Mtanzania

Vita ya Frederick Sumaye, Mary Nagu ngoma nzito

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye

Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye

NA MWANDISHI WETU, HANANG’

MGOGORO wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati ya Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, unaendelea kufukuta.

Hatua hiyo inatokana na viongozi wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) Wilaya ya Hanang’ kugawanyika kuhusu uteuzi wa Sumaye kuchukua nafasi ya Nagu kuwa kamanda wa UVCCM wa wilaya hiyo.

Wakizungumza juzi, vijana hao walisema...

 

10 years ago

Dewji Blog

NEWS ON SITE: Waziri Mkuu Frederick Sumaye ajiunga rasmi UKAWA!!

social-media-SAAWaziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye,  akiwa katika meza kuu akitangaza rasmi kukihama chama cha Mapinduzi CCM na kujiunga na UKAWA mapema mchana wa leo Agosti 22.2015.  kwa kile alichokieleza mwenendo mbovu wa CCM katika uteuzi wa mgombea Urais ndani ya Chama hicho hivi karibuni

Andrew Chale, modewjiblog

(Kunduchi-Kinondoni)  Tayari  Taifa la Tanzania ambalo kwa sasa limeanza rasmi kwenye kinyang’anyiro cha Urais, mchana wa leo Agosti 22, 2015 – Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye,...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS

 Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akiingia ukumbini katika Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mke wake Ester Frederick Sumaye kwa ajili ya kutangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wakati ukifika iwapo jina lake litapitishwa na chama chake cha CCM.  Waziri Mkuu mstaafu  Sumaye akiwa na mke wake Ester Sumaye wakati wa mkutano huo wa kutangaza nia. Waziri Mkuu mstaafu Sumaye (kulia), akizungumza na wanahabari na wadau wengine wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani