Mhe John Pombe Magufuli katika ubora wake...
![](http://img.youtube.com/vi/G-0527-9_xY/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6GhpsYptpwk/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR6XBaoLfgLgRstqWzf38Z11yqo7cF-hvyifYsGP5nDSCg76JlFg4vZe7ZhEFzDdmtXgv5b6sstikYWmeuShHVFa/JOHN.png)
MJUE KWA UNDANI MGOMBEA URAIS WA CCM, MHE. JOHN POMBE MAGUFULI
9 years ago
MichuziViongozi wawasili nchini Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZtOGzTt3gSI/VZAKEZH7eoI/AAAAAAAHlIM/LHZwDR6L0AA/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Kutoka Maktaba. DKT JOHN POMBE MAGUFULI ENZI ZA UJANA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZtOGzTt3gSI/VZAKEZH7eoI/AAAAAAAHlIM/LHZwDR6L0AA/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ko9umsEHNXc/VaUGRtSM7LI/AAAAAAAHpm8/a9Ifs3DIywU/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Dkt John Pombe Magufuli na Mhe. Samia Suluhu Hassan watua Dar leo, wapokewa kwa shangwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ko9umsEHNXc/VaUGRtSM7LI/AAAAAAAHpm8/a9Ifs3DIywU/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fwHgodok-pQ/VaUGRuvyIBI/AAAAAAAHpm4/LbyIMC5bUqk/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mOUgBqksIK0/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s640/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi, Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.
Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.