Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHESHIMIWA WETU KIRO SAFI


LOWASA from NY Ebra on Vimeo.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana. DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

DC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana.DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.Mmoja wa vijana wa kituo hicho akiigiza igizo kuonesha changamoto zinazowakabili watoto waishio katika mazingira hatarishi.Mkuu wa Kituo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mheshimiwa Sitta na ‘kasi na viwango’

Sijui wewe, lakini binafsi naamini wazi kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel Sitta ni miongoni mwa viongozi wanaoshushiwa lawama lukuki kutokana na mchakato wa kupata Katiba Mpya kusuasua.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Ally (Ex wa Mheshimiwa), awajibu Wambea

Staa wa Bongo Movie, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.

Kupita akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na mwanaye Sasha na kuandika kuwa "Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi mwenyewe sema tu sipendi sana kurusha kwangu"

Na kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani...

 

10 years ago

GPL

MUSOMA VIJIJINI, MARA MHESHIMIWA NIMROD MKONO

Musoma Vijijini ni moja ya majimbo ya uchaguzi yaliyopo mkoani Mara, likiongozwa na Mheshimiwa Nimrod Mkono kwa tiketi ya CCM. Kwa mujibu wa upepo wa kisiasa jimboni humo, Mheshimiwa Mkono atakuwa na kazi kubwa ya kutetea jimbo lake kutokana na changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo lake, ikiwemo uduni wa huduma za kijamii, kuporomoka kwa kiwango cha elimu, uhaba wa maji sambamba na ubovu wa miundo mbinu. Yote...

 

10 years ago

Vijimambo

MHESHIMIWA FREDERICK SUMAYE ALIPOCHUKUA FOMU DODOMA

Waziri Mkuu mstaafu wa hawamu ya tatu Mheshimiwa Bw.Frederick Sumayealitinga katika ofisi za makao makuu ya Chama cha Mapinduzi CCM kuchukuafomu za mbio za urais 2015

 

11 years ago

GPL

KIJANA AKIMSHUKURU MHESHIMIWA RAIS JAJAYA KIKWETE‏

Kijana Bakari Hassan Katumbaku (Kulia) akionyesha Picha ya Mheshimiwa Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa Waandishi wa Habari hawapo Pichani wakati alipotembelewa kipindi cha matibabu yake katika Hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam  baada ya kupata ajali ya moto, kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo Bw. Vincent Tiganya Kijana Bakari Hassan Katumbaku (Kulia) akionyesha Picha… ...

 

10 years ago

Michuzi

mwaliko wa mnuso kwa mheshimiwa diwani mwezi ujao

Mimi Clement Bocco, napenda kuwakaribisha marafiki zangu, madiwani wenzangu wa manispaa ya kinondoni, wanakwaya wenzangu wa kkkt Kijitonyama, wanasiasa wenzangu, ndugu, jamaa na majirani zangu wote mje kufurahi pamoja na familia yangu kwenye sherehe ya mahafali (graduation) yangu ya Masters kwenye chuo cha IFM mwezi ujao tarehe 10.10.2014, baada ya ratiba ya chuoni itafuatiwa na tafrija itakayofanyika Sinza..hakuna kiingilio, KARIBUNI WOOOTE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani