Mheshimiwa Sitta na ‘kasi na viwango’
Sijui wewe, lakini binafsi naamini wazi kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel Sitta ni miongoni mwa viongozi wanaoshushiwa lawama lukuki kutokana na mchakato wa kupata Katiba Mpya kusuasua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Viwango, kasi vya Sitta vimepwaya
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameliahirisha Bunge hilo juzi huku akijitetea kwa hoja dhaifu kuhusu tuhuma za kushindwa kwake kusimamia nidhamu kwa wajumbe. Tangu kuanza kwa mjadala...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Hongera Sitta, tunataka Bunge la kasi, viwango
SPIKA wa zamani wa Bunge la Muungano, Samuel Sitta, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma. Sitta ambaye ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s72-c/1-37.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s640/1-37.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-37.jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ASEMA SERIKALI HAIJARIDHIA VIWANGO VIPYA VYA NAULI YA MABASI YAENDAYO KASI.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizunguza na Waandishi wa Habari kwenye uwanja wa Ngege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Geoge Simbachawene. na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es slaam Meck Sadiki.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tv5wAJKQN8g/UvpsNE6BTUI/AAAAAAAFMas/turaE_MrroA/s72-c/unnamed+(95).jpg)
TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tv5wAJKQN8g/UvpsNE6BTUI/AAAAAAAFMas/turaE_MrroA/s1600/unnamed+(95).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkefdNWm5i0/UvpsONNv4nI/AAAAAAAFMaw/Isb_oe0Cqok/s1600/unnamed+(96).jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Jun
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Dude Alaumu Viwango 0
Dude alaumu wasanii wenzake kwa kutoa utitiri wa filamu zisizo na viwango na kusema anataka kuleta mabadiliko katika filamu yake mpya, baada ya kukaa muda mrefu bila kutoa sinema.
Dude alisema wasanii wengi wa filamu nchini wana vipaji lakini wanashindwa kuvitumia ipasavyo kutokana na kuandika miswada ya filamu ambazo hazina elimu yoyote kwa jamii.
Mbali na miswada mibovu , Dude amesema pia wasanii wengi wana tatizo la kuingiza mambo binafsi ambayo hayaendani na hadithi yenyewe...
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Faiza Ally (Ex wa Mheshimiwa), awajibu Wambea
Staa wa Bongo Movie, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.
Kupita akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na mwanaye Sasha na kuandika kuwa "Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi mwenyewe sema tu sipendi sana kurusha kwangu"
Na kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani...