Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera Sitta, tunataka Bunge la kasi, viwango

SPIKA wa zamani wa Bunge la Muungano, Samuel Sitta, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma. Sitta ambaye ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mheshimiwa Sitta na ‘kasi na viwango’

Sijui wewe, lakini binafsi naamini wazi kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel Sitta ni miongoni mwa viongozi wanaoshushiwa lawama lukuki kutokana na mchakato wa kupata Katiba Mpya kusuasua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viwango, kasi vya Sitta vimepwaya

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameliahirisha Bunge hilo juzi huku akijitetea kwa hoja dhaifu kuhusu tuhuma za kushindwa kwake kusimamia nidhamu kwa wajumbe. Tangu kuanza kwa mjadala...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa Meneja Mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ASEMA SERIKALI HAIJARIDHIA VIWANGO VIPYA VYA NAULI YA MABASI YAENDAYO KASI.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizunguza na Waandishi wa Habari kwenye uwanja wa Ngege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Geoge Simbachawene. na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es slaam Meck Sadiki.Baadhi ya waandishi wa habari wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. (PIcha na...

 

11 years ago

Michuzi

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA

Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta na Bunge la Maridhiano

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (kulia) akipongezwa na Mjumbe Edward Lowassa baada ya kujieleza kuwania nafasi ya Uenyekiti wa Bunge hilo. Uchaguzi huo ulifanyika jana na Sitta alishinda. (Picha na Mroki Mroki).MWENYEKITI mteule wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameonesha wazi kuwa ataongoza Bunge hilo kwa maridhiano, baada ya kueleza kundi lililokuwa nyuma yake wakati wa kampeni.

 

11 years ago

Habarileo

Busara za Sitta zaokoa Bunge

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kutumia busara ili kuepusha Bunge hilo kuvunjika kutokana na kujitokeza kwa dosari mbalimbali wakati kamati zikiwasilisha maoni ya mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta ataweka historia Bunge Maalumu

UJIO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, katika nafasi ya kuliongoza Bunge hilo la historia, inaweza kuweka historia ya kutengeneza katiba ile tunayohitaji na itamweka Rais Jakaya...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta: Kuna mpango kuvuruga Bunge

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samwel Sitta amefichua siri za kuwepo kwa mipango ya siri, inayodaiwa kufanywa na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuvuruga mchakato wa kuundwa kwa Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani