Mh.Mbatia: Jeshi la polisi lifanyiwe marekebisho ya kimfumo ili kuboresha utendaji wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Jo95vfuA-s/VMvVLVUAzkI/AAAAAAAAnf8/rEg_fm-9IRY/s72-c/2%2B(4).png)
Serikali imeshauriwa jeshi la polisi lifanyiwe marekebisho ya kimfumo ili kuboresha utendaji wake ambao kwa sasa unalalamikiwa kwa sehemu kubwa na wananchi kwa kukiuka haki za binadamu.Akizungumza jana mjini Dodoma katika kuhitimisha hoja kuhusu kukamatwa kwa kiongozi wa wa chama cha CUF, Prof Ibrahim Lipumba na wanachama wake,Mbatia alisema kuwa kitendo hicho kilikiuka haki za binadamu ikiwemo wanawake kudhalilishwa kijinsia.
Mh. Mbatia emeongeza kuwa ili chaguzi zijazo ziwe za amani na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Dec
Jeshi la polisi laombwa kuboresha mikakati Ili Kudhibiti Ajali Za Barabarani Â
Siku moja baada ya ajali ya basi kugongana na Lori la mafuta na kusababisha vifo vya watu 12 papo hapo na kujeruhi wengine 18 mkoani Singida, baadhi ya wanachi wameliomba Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, kuangalia upya mikakati yake kudhibiti tatizo hilo nchini.
Ajali hiyo ilitokea jana Jumanne majira ya saa 1:30 usiku katika eneo la Kizonzo- Shelui Wilaya ya Iramba barabara kuu ya Singida-Mwanza na kulihusisha basi la Kampuni ya TAKBIIRY lenye namba za usajili T. 230 BRJ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YMYiL1FWNkU/Vifx55XsMyI/AAAAAAAIBkg/m34AzlGUdns/s72-c/New%2BPicture.png)
MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA) KUJIENDESHA KIDIGITALI KWA LENGO LA KUBORESHA UTENDAJI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-YMYiL1FWNkU/Vifx55XsMyI/AAAAAAAIBkg/m34AzlGUdns/s320/New%2BPicture.png)
Mfumo unaozinduliwa leo umegharim TFDA takriban Tsh. 300 Milion na kutoka Taasisi ya TMEA imetumia Dola za Marekani $...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.
Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahmani Kaniki akisalimiana na askari Polisi wa wa jeshi hilo. (Picha ya Maktaba).
Na Tamimu Adam, wa Jeshi la Polisi.
Jeshi la polisi nchini, limeanzisha mpango wa kuboresha usalama wa
jamii nchi nzima ambao unalenga kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi, kuboresha mawasiliano ya ndani na nje ya Jeshi la polisi kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa usalama
ambapo mpango huo utaanza kutekelezwa katika mkoa wa kipolisi kinondoni ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4KcAgOw8Otw/Vmcaafolj-I/AAAAAAAILEw/VeNQY3lq9W8/s72-c/download.jpg)
Jeshi la Polisi laja na mpango wa kuboresha usalama kwenye jamii.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4KcAgOw8Otw/Vmcaafolj-I/AAAAAAAILEw/VeNQY3lq9W8/s400/download.jpg)
Akihitimisha maabara ya mpango huo iliyofanya kazi kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X634UbgI2ow/VD5EtyIg6RI/AAAAAAAGqk0/-cGDN7ph7XY/s72-c/ABG%2B1.jpg)
AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s72-c/4.jpg)
ALBINO WATAKIWA KUSHIRIKIANA KWA KARIBU NA JESHI LA POLISI ILI KUIMARISHA USALAMA WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HGCwp8oEI2I/U_dcYB3WcBI/AAAAAAAGBcY/AEgwP_4naWo/s1600/4.jpg)
Pamoja na kwamba haijawahi kutoa tukio lolote dhidi ya Albino jijini Dar es Salaam kutokana na uhusiano uliopo lakini kwa sasa waongeze mawasiliano na Jeshi la Polisi kutokana na taarifa za uhalifu dhidi ya Albino...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hhCh5AnBuF8/VSfnbvE2LEI/AAAAAAAAaZg/1G7H6km5AZc/s72-c/1.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI NCHINI KUFUATIA UPOTOSHWAJI UNAOENEZWA KWA NJIA YA MTANDAO ILI KUWATIA WATU HOFU
![](http://2.bp.blogspot.com/-hhCh5AnBuF8/VSfnbvE2LEI/AAAAAAAAaZg/1G7H6km5AZc/s1600/1.jpg)
Katika siku za hivi karibuni kumeibuka tabia ya baadhi ya watu wachache wasiofahamika kutunga na kusambaza ujumbe kupitia simu za mikononi na mitandao mbalimbali ya kijamii wenye lengo la kuwatia hofu wananchi, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Aidha, watu hao wanaosambaza taarifa hizo wanajifanya kwamba taarifa hizo zimetoka kwenye taasisi za kimataifa na taasisi zingine zinazoaminika jambo ambalo siyo kweli.
Jeshi la Polisi nchini linawataka wote wenye tabia hiyo kuacha mara moja na...
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI LAANZA KUTOA ELIMU KWA ABIRIA NA MADEREVA ILI KUKABILIANA NA AJALI KATIKA KIPINDI CHA MWISHO WA MWAKA
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Jeshi la Polisi Njombe lawafukuza kazi askari wake watatu
Na Edwin Moshi
Jeshi la polisi mkoani Njombe limeamua kuchukua uamuzi mgumu wa kuwafukuza kazi askari polisi wake watatu kwa makosa mbalimbali waliyoyafanya ikiwemo vitendo vibaya kinyume na sheria za jeshi hilo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa mtandao huu na Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani (pichani) askari hao waliofukuzwa kazi ni EX.G. 3172 PC Ramadhani Iddi Saidi, EX.G. 9693 PC Emmanuel Morson Lyimo pamoja na EX.G. PC Miraji Jumanne Mtea.
Kamanda Ngonyani...