Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhubiri mwingine auawa nchini Kenya

Muhubiri wa kiisilamu ameuawa nchini Kenya , ikiwa ni mauaji ya hivi karibuni ya kiongozi mwingine wa kidini mjini Mombasa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa

Abubakar Shariff anayejulikana kwa jina lengine kama Makaburi, amekuwa akituhumiwa kwa kusajili vijana kuenda kupigania kundi la Al Shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbunge auawa nchini Kenya

Mbunge mmoja ameuawa kwa kupigwa risisi kwenye mji mkuu wa kenya Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

'Taulo Kenya zina ukimwi',asema mhubiri

Kituo cha muhubiri Pat Robertson kiliomba radhi kwa kauli yake potovu kwamba wasafiri wanaokwenda Kenya wanaweza kupata HIV kutoka kwa taulo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwafrika mwingine auawa Missouri

Mauaji mengine ya raia wa Kiafrika yafanywa tena na Polisi huko St Louis na hivyo kusababisha vurugu na wasiwasi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mbunge mwingine auawa Somalia

Mbunge mwingine ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Mogadishu, Somalia akiwa ni mbunge wa pili kuuawa mjini humo katika muda wa masaa 24.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwingine mweusi auawa Marekani

Maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis ,baada ya askari kumpiga risasi kijana mweusi .

 

10 years ago

StarTV

Mfanyabiashara auawa, mwingine ajeruhiwa Bunda.

Na Ahmed Makongo,

Bunda Mara.

 

Mfanyabiashara mmoja wa kuuza samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwingine kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika matukio mawili tofauti yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.

 

Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani Mara Philpo Kalangi tukio la kwanza lilitokea Januari 12 mwaka huu majira ya saa 3 usiku katika eneo la Nyasura mjini Bunda ambapo mfanyabiashara huyo akiwa na mke wake wakati wakirejea nyumbani alipigwa risasi na watu wasiofahamika ambao...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwingine auawa Geita, kifo chake chatatanisha

Mtu ambaye hajafahamika jina wala makazi, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Kituo cha Afya Katoro wilayani Geita, baada ya kufikishwa na polisi akiwa hajitambui.

 

10 years ago

GPL

MTOTO MWINGINE ATEKWA, AUAWA, AKATWA NYETI

Stori: Mwandishi wetu          
WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto katika Jiji la Dar bado ni tishio kufuatia wiki iliyopita, maiti ya mtoto Nuru Mohamed (7) mkazi wa Majohe Kichangani Wilaya ya Ilala, kuokotwa ikiwa imeharibika vibaya, tena baadhi ya viungo vyake vikiwa vimenyofolewa. Mtoto Nuru Mohamed (7) aliyetekwa na kuuawa na mtu asiyefahamika. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Novemba 6,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani