Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwafrika mwingine auawa Missouri

Mauaji mengine ya raia wa Kiafrika yafanywa tena na Polisi huko St Louis na hivyo kusababisha vurugu na wasiwasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mbunge mwingine auawa Somalia

Mbunge mwingine ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Mogadishu, Somalia akiwa ni mbunge wa pili kuuawa mjini humo katika muda wa masaa 24.

 

10 years ago

StarTV

Mfanyabiashara auawa, mwingine ajeruhiwa Bunda.

Na Ahmed Makongo,

Bunda Mara.

 

Mfanyabiashara mmoja wa kuuza samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mwingine kujeruhiwa kwa kupigwa risasi katika matukio mawili tofauti yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.

 

Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani Mara Philpo Kalangi tukio la kwanza lilitokea Januari 12 mwaka huu majira ya saa 3 usiku katika eneo la Nyasura mjini Bunda ambapo mfanyabiashara huyo akiwa na mke wake wakati wakirejea nyumbani alipigwa risasi na watu wasiofahamika ambao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwingine mweusi auawa Marekani

Maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis ,baada ya askari kumpiga risasi kijana mweusi .

 

11 years ago

BBCSwahili

Mhubiri mwingine auawa nchini Kenya

Muhubiri wa kiisilamu ameuawa nchini Kenya , ikiwa ni mauaji ya hivi karibuni ya kiongozi mwingine wa kidini mjini Mombasa

 

10 years ago

GPL

MTOTO MWINGINE ATEKWA, AUAWA, AKATWA NYETI

Stori: Mwandishi wetu          
WIMBI la utekaji na mauaji ya watoto katika Jiji la Dar bado ni tishio kufuatia wiki iliyopita, maiti ya mtoto Nuru Mohamed (7) mkazi wa Majohe Kichangani Wilaya ya Ilala, kuokotwa ikiwa imeharibika vibaya, tena baadhi ya viungo vyake vikiwa vimenyofolewa. Mtoto Nuru Mohamed (7) aliyetekwa na kuuawa na mtu asiyefahamika. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Novemba 6,...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwingine auawa Geita, kifo chake chatatanisha

Mtu ambaye hajafahamika jina wala makazi, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Kituo cha Afya Katoro wilayani Geita, baada ya kufikishwa na polisi akiwa hajitambui.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka upya Missouri

Machafuko yazuka upya Ferguson licha ya rais Obama kusihi utulivu urejee

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya usalama Missouri yaimarishwa

Gavana wa jimbo la Missouri nchini marekani ameomba nguvu za kijeshi huko Ferguson kufuatia vurugu zilizotokea mapema wiki hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Missouri kuwatumia National Guard

Jimbo la Missouri Marekani limeamua kuwatumia maafisa wa polisi wa National Guard kuzima maandamano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani