Hali ya usalama Missouri yaimarishwa
Gavana wa jimbo la Missouri nchini marekani ameomba nguvu za kijeshi huko Ferguson kufuatia vurugu zilizotokea mapema wiki hii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,

10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Missouri hali ilivyo kwa sasa
"Usiku wa jana ulikuwa ni wa maafa. Tunajiandaa kuungana tena na kikosi maalam cha Taifa, kukabiliana na hali hii.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Gavana atangaza hali ya hatari, Missouri
Gavana wa jimbo la Missouri nchini Marekani ametangaza hali ya hatari kabla ya kutolewa uamuzi muhimu kuhusu kumfungulia mashitaka
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Hali ya usalama DRC imeimarika
Mjumbe maalum wa Marekani katika Maziwa makuu, amesema hali inaendelea kuimarika, baada ya waasi wa kundi la M23 kukubali kusalimisha silaha mwezi Novemba.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Hali ya usalama nchini Nigeria
BBC inaendelea kukujuza takwimu muhimu kabla ya uchaguzi mkuu ulioratibiwa kufanyika tarehe 28 Machi.
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
Tamko la RSA kuhusu ajali na hali ya usalama barabarani
TAMKO LA RSA KUHUSU AJALI ZA BARABARANI (1).docx by moblog
5 years ago
Michuzi
IGP SIRRO TUMEIMARISHA HALI YA USALAMA KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.
Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.
IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa...
10 years ago
GPL
MKUU WA MKOA DODOMA AZUNGUMZIA HALI YA USALAMA KATIKA KIPINDI CHA MIKUTANO YA CCM
Mkuu wa Mkoa Dodoma, Chiku Gallawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya uwepo wa Mikutano Mikubwa ya CCM katika mkoa wake, inayotarajiwa kuanza rasmi kesho. Sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa wakati akizungumza nao juu ya uwepo wa Mikutano Mikubwa ya Chama cha Mapinduzi katika mkoa wake.… ...
10 years ago
Michuzi
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azungumzia hali ya usalama katika kipindi hiki cha Mikutano ya CCM

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania