Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali ya usalama Missouri yaimarishwa

Gavana wa jimbo la Missouri nchini marekani ameomba nguvu za kijeshi huko Ferguson kufuatia vurugu zilizotokea mapema wiki hii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.  Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache  wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Missouri hali ilivyo kwa sasa

"Usiku wa jana ulikuwa ni wa maafa. Tunajiandaa kuungana tena na kikosi maalam cha Taifa, kukabiliana na hali hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gavana atangaza hali ya hatari, Missouri

Gavana wa jimbo la Missouri nchini Marekani ametangaza hali ya hatari kabla ya kutolewa uamuzi muhimu kuhusu kumfungulia mashitaka

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya usalama DRC imeimarika

Mjumbe maalum wa Marekani katika Maziwa makuu, amesema hali inaendelea kuimarika, baada ya waasi wa kundi la M23 kukubali kusalimisha silaha mwezi Novemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya usalama nchini Nigeria

BBC inaendelea kukujuza takwimu muhimu kabla ya uchaguzi mkuu ulioratibiwa kufanyika tarehe 28 Machi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamko la RSA kuhusu ajali na hali ya usalama barabarani

RSA LOGO

TAMKO LA RSA KUHUSU AJALI ZA BARABARANI (1).docx by moblog

 

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO TUMEIMARISHA HALI YA USALAMA KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.  
Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache  wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.
IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA MKOA DODOMA AZUNGUMZIA HALI YA USALAMA KATIKA KIPINDI CHA MIKUTANO YA CCM

Mkuu wa Mkoa Dodoma, Chiku Gallawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya uwepo wa Mikutano Mikubwa ya CCM katika mkoa wake, inayotarajiwa kuanza rasmi kesho. Sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa wakati akizungumza nao juu ya uwepo wa Mikutano Mikubwa ya Chama cha Mapinduzi katika mkoa wake.… ...

 

10 years ago

Michuzi

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azungumzia hali ya usalama katika kipindi hiki cha Mikutano ya CCM

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mh. Chiku Gallawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya uwepo wa Mikutano Mikubwa ya Chama cha Mapinduzi katika Mkoa wake, inayotarajiwa kuanza rasmi kesho Julai 8, 2015, yenye agenda kuu ya kuchagua mgombea wa Urais atakaiwakilisha CCM kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu. Katika taarifa yake aliyoitoa leo Julai 7, 2015 Ofisini kwake, Mh. Gallawa amesema kuwa Mikutano hiyo itahusisha uwepo wa wageni wengi Mkoani Dodoma, hivyo kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani