Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IGP SIRRO TUMEIMARISHA HALI YA USALAMA KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.  
Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache  wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.
IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.  Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache  wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa eneo...

 

10 years ago

GPL

KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO

Maji yakiwa yamejaa katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani, Ubungo. Kufuatia mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, maeneo…

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya usalama nchini Nigeria

BBC inaendelea kukujuza takwimu muhimu kabla ya uchaguzi mkuu ulioratibiwa kufanyika tarehe 28 Machi.

 

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA UHALIFU

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema Jeshi la Polisi limejipanga vizuri katika kuhakikisha linakabiliana vyema na matukio ya uhalifu yanayojitokeza nchini na kwamba Jeshi lipo imara hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu.
IGP Sirro amesema hayo wakati akikamilisha ziara yake ya ukaguzi katika Kanda Maalum ya Polisi...

 

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Sirro (kushoto) akizungumza na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) DR. Stergomena Tax, aliyemtembelea ofisini kwake Makao Makuu Ndogo ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo na kujadiliana masuala mbalimbali ya kiutendaji.Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Sirro (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) DR. Stergomena Tax, aliyemtembelea ofisini kwake Makao Makuu...

 

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO AFANYA MKUTANO KWA NJIA YA VIDEO



Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro pamoja na wasaidizi wake leo 17/06/2020 jijini Dar es salaam, wakishiriki kwa njia ya mtandao (Video Conference ) mkutano wa Jumuiya ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa Nchi za Ukanda wa Kusini Mwa Afrika (SARPCCO) unaojumuisha nchi 15 ikiwemo Tanzania katika mkutano wake wa kawaida wa...

 

5 years ago

CCM Blog

IGP SIRRO: WALE AMBAO WAMEFUNGIWA... WASITAFUTE UGOMVI NA WATANZNIA

“Mkubwa wako wa nchi akishasema umekuwa ‘lockdown’ kwenye nchi yako…ustaarabu…ukae kwako…! mambo yakiwa mazuri si tutatembeleana..!
...wale ambao wamefungiwa wasitafute ugomvi na Watanzania…,”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani