IGP SIRRO TUMEIMARISHA HALI YA USALAMA KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Itf-BRG-ous/Xo8qtvlyF2I/AAAAAAALmq0/RVwmEJapwskhqVJ-ru0QuwwSf5Pg9T4YACLcBGAsYHQ/s72-c/igp%252Bsirro.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini vimejipanga vyema kuhakikisha vinadhibiti vitendo vya uhalifu hasa kutokana na vitendo vya vurugu vinavyoendelea katika nchi jirani ya Msumbiji.
Aidha, IGP Sirro, amewataka Watanzaania hususan vijana kuacha kutumiwa na watu wachache wanaowataka wajiingize kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kufanya uhalifu.
IGP Sirro amesema hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya wakazi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s72-c/SIRRO1.jpg)
KUFUATIA VURUGU ZINAZOENDELEA NCHINI MSUMBIJI, HALI YA USALAMA YAIMARISHWA HAPA NCHINI,
![](https://1.bp.blogspot.com/-bbMcK5KN-BU/Xo8Ejy-NScI/AAAAAAALmpY/ZE-MwAuyrtAi0EtJdHAe60INyxptisUtQCLcBGAsYHQ/s640/SIRRO1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKviiitYxKsXOKyvoO6xWIQn-IxMdSestBvRQU7LuJRl15xmFBVaDSj0FudrqXzqGquEynFZHWRHxlgtFosRWeE/IMG20150512WA0002.jpg)
KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Hali ya usalama nchini Nigeria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s72-c/SIROO1.jpg)
IGP SIRRO TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA UHALIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s640/SIROO1.jpg)
IGP Sirro amesema hayo wakati akikamilisha ziara yake ya ukaguzi katika Kanda Maalum ya Polisi...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/rTG6Nyd0u68/default.jpg)
5 years ago
MichuziIGP SIRRO AKUTANA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZYZ5PZ7bynw/Xun11_vXyZI/AAAAAAALuNg/4hS533_GrpIIDh3gx9Sa4rHS_TXHNmUiwCLcBGAsYHQ/s72-c/JH9A1202-2048x1365.jpg)
IGP SIRRO AFANYA MKUTANO KWA NJIA YA VIDEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZYZ5PZ7bynw/Xun11_vXyZI/AAAAAAALuNg/4hS533_GrpIIDh3gx9Sa4rHS_TXHNmUiwCLcBGAsYHQ/s640/JH9A1202-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JH9A1200-scaled.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro pamoja na wasaidizi wake leo 17/06/2020 jijini Dar es salaam, wakishiriki kwa njia ya mtandao (Video Conference ) mkutano wa Jumuiya ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa Nchi za Ukanda wa Kusini Mwa Afrika (SARPCCO) unaojumuisha nchi 15 ikiwemo Tanzania katika mkutano wake wa kawaida wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u5DyPv24vBY/Xl-9z5Ol5oI/AAAAAAALhDs/5Np0gTJ6w58rx4qhNMgNurPKl48EIyB3ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B17.37.28.jpeg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9k5ufzxnlJg/XqP50mEr3mI/AAAAAAAC35Y/iA1wUsp_-7cDgCORMOhNCXmhB_RLO6jbACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
IGP SIRRO: WALE AMBAO WAMEFUNGIWA... WASITAFUTE UGOMVI NA WATANZNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9k5ufzxnlJg/XqP50mEr3mI/AAAAAAAC35Y/iA1wUsp_-7cDgCORMOhNCXmhB_RLO6jbACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
...wale ambao wamefungiwa wasitafute ugomvi na Watanzania…,”