Miaka 50 ya Muungano ilivyonufaika Watanzania
Ukuaji wa uchumi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar umeimarika kwa asilimia 7.0 katika kipindi cha mwaka 2012 huku Pato la Taifa kwa bei za miaka husika limefikia jumla ya Sh1,354 bilioni mwaka 2012 ikilinganishwa na Sh1,198 bilioni kwa mwaka 2011, kwa mujibu wa taarifa ya Serikali inayozungumzia hali ya fedha mwaka uliopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tPVbDAaeFKk/VIgOjUjriQI/AAAAAAAAUuk/c3PLmrFr_lU/s72-c/IMG_8283.jpg)
NISHANI ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZATOLEWA KWA WATANZANIA 28
![](http://4.bp.blogspot.com/-tPVbDAaeFKk/VIgOjUjriQI/AAAAAAAAUuk/c3PLmrFr_lU/s1600/IMG_8283.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dayQgVCPYg8/VIgOkwXW99I/AAAAAAAAUuw/mf1Z7FoDlDo/s1600/IMG_8292.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod2TZrqPTPHOu47iwgzMRIsbF70wGreSVriMNoy1gm2s0j3Y1lE9tBNd21UYkZ8z5qjWJjJo2sFBBcRv3T*1qOCC/jk.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO
11 years ago
MichuziWATANZANIA WAISHIO MJINI SHANGHAI WALIVYOSHEREHEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA
11 years ago
Michuzi27 Apr
SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA ZILIVYOFANA WAHSINGTON DC,WATANZANIA WAFURIKA
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn2/t1.0-9/10151776_245211862347716_2841030727564069870_n.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn1/t1.0-9/1972506_245280829007486_1265668735472031731_n.jpg)
![](https://scontent-b-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/10295692_245211749014394_4648562992744697566_n.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-frc1/t1.0-9/10154467_245214722347430_578327805561471050_n.jpg)
![](https://scontent-b-ord.xx.fbcdn.net/hphotos-prn1/t1.0-9/10150526_245258455676390_2424036850466791851_n.jpg)
![](https://scontent-a-ord.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1.0-9/10252164_245284139007155_9162520561482326631_n.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
11 years ago
Habarileo13 Mar
‘Watanzania wafikirie kulinda Muungano’
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.
11 years ago
Habarileo20 Apr
Watanzania dumisheni Muungano-Pinda
WATANZANIA wametakiwa kila mmoja kwa nafasi yake kuulinda, kuimarisha na kuudumisha Muungano kwa kutafuta na kuhakikisha ushirikiano wa kindugu uliopo unadumishwa.
11 years ago
Habarileo13 Mar
Wasira- Watanzania lindeni muungano
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.
11 years ago
Habarileo13 Mar
‘Watanzania wafikirie kuulinda Muungano’
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema ni vyema Watanzania wakafikiria kudumisha Muungano kwa kutazama kero zilizoonekana miaka 50 iliyopita ikiwemo kero za watendaji, sheria na kuondoa kabisa kero zote ili kuweza kusonga mbele.