Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
Wiki hii Aprili 26 ,Tanzania inaadhimisha miaka 50 ya Muungano tangu Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuunda nchi ya Tanzania. Kuna nini cha kusherehekewa?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s72-c/Betty+Boniface.jpg)
Miss Universe Tanzania washiriki fashion show Moscow ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s1600/Betty+Boniface.jpg)
Warembo wawili wa waliowahi kushinda taji la Miss Universe, Nelly Kamwelu na Betty Boniface leo (Jumamosi) watapanda jukwaani mjini Moscow, Urusi kushiriki katika maonyesho ya mavazi ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Warembo hao waliondoja nchini juzi na tayari wapo mjini Moscow kwa ajili ya maonyesho hayo ambayo pia yatashirikisha waonyesha mavazi mbali mbali wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Compass Communications, Maria...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s72-c/New+Picture+(1).png)
UBALOZI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE) WASHEREHEKEA SHEREHE ZA MIAKA 50 MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OkO89A-gHUg/U2H87gyVtfI/AAAAAAAFeVw/qyf_u_Z7sA8/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8dXcNemU5i4/U2H88G12_-I/AAAAAAAFeV4/bUF1HlLI4Uc/s1600/New+Picture+(3).png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s72-c/IMG_0870.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ASHIRIKIANA NA UVCCM KATIKA MBIO ZA UZALENDO TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s1600/IMG_0870.jpg)
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
Tanzania yatimiza miaka 50 ya Muungano
Sherehe za kuhadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zimefanyika leo mjini Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi27 Apr
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kCxp3EFGawo/U16mpN2epoI/AAAAAAAFd1E/ZjGK3BFarHU/s72-c/unnamed+(48).jpg)
UBALOZI WA TANZANIA ADDIS ABABA WASHEREHEKEA MIAKA 50 YA MUUNGANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-kCxp3EFGawo/U16mpN2epoI/AAAAAAAFd1E/ZjGK3BFarHU/s1600/unnamed+(48).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zMVMtgerBz4/U16mpJrbevI/AAAAAAAFd1I/vJmw4XV6FyM/s1600/unnamed+(49).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1UMg7bRr1uY/U16mpUUH2cI/AAAAAAAFd1Q/Ljpw7K4EG9s/s1600/unnamed+(50).jpg)
11 years ago
MichuziUbalozi wa Tanzania nchini Nigeria waadhimisha miaka 50 ya Muungano
Na: Geofrey Tengeneza – Abuja Nigeria
Jumuiya ya wafanyabiashara, wawekezaji na wananchi wa Nigeria kwa ujumla, wameombwa kuja kuwekeza kwa ujumla na kutembelea vivutio vya utalii mbalimbali vinavyopatikana nchini Tanzania.
Hayo yamesemwa na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mheshimiwa Daniel Ole Njoolay katika maadhimisho ya miaka hamsini 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) yalioandaliwa na ofisi ya ubalozi waTanzania nchini Nigeria na kufanyika katika Hoteli ya Sheraton...
Jumuiya ya wafanyabiashara, wawekezaji na wananchi wa Nigeria kwa ujumla, wameombwa kuja kuwekeza kwa ujumla na kutembelea vivutio vya utalii mbalimbali vinavyopatikana nchini Tanzania.
Hayo yamesemwa na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mheshimiwa Daniel Ole Njoolay katika maadhimisho ya miaka hamsini 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) yalioandaliwa na ofisi ya ubalozi waTanzania nchini Nigeria na kufanyika katika Hoteli ya Sheraton...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f37OtKHqJXE/U1mULFMqbDI/AAAAAAAFc40/cxdq4O-v3xU/s72-c/MMG21739.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vJbJD723m_g/UxRQrzLouhI/AAAAAAACbdA/et-HkqdbUAE/s72-c/Copy+of+IMG_9378.jpg)
MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA NA USHIRIKIANO KATIKA UTUMISHI WA UMMA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-vJbJD723m_g/UxRQrzLouhI/AAAAAAACbdA/et-HkqdbUAE/s1600/Copy+of+IMG_9378.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania