‘Michepuko’ ni chanzo cha wengi kwenda kupima DNA
Isaya Kolumba alishangazwa na tabia za mmoja wa watoto wake. Hakuwa na sura yake wala ya mama yake. Si hivyo tu bali alikwishaanza kuona dalili kubwa zinazoonyesha mtoto huyo kufanana kisura na dereva anayemuendesha mke wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Davido akana kupima DNA
![Davido-11](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Davido-11-200x300.jpg)
IKIWA ni miezi mitatu tangu msanii wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ apate mtoto wa kike aliyezaa na mpenzi wake wa zamani, msanii huyo amesema hana mpango wa kupima vina saba ‘DNA’ kwa kuwa anaamini mtoto huyo ni wake.
“Ningefanya hivyo kama ningekuwa na wasi wasi, lakini kwa sasa wala sina wasi wasi wowote na ninakubali kuwa ni mtoto wangu maana anafanana sura na mimi,” alisema Davido.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtSOvhE6VMIInDdZjgkTk-lSNh3Nzqu*9oyiF78fSBTd2nOfTUe4pK0QQOhxNbvf5P1lXZKdI4sgjGBZw*I0szv/2.jpg?width=650)
NAY: NIPO TAYARI KUPIMA DNA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9lhQsMnv1qk/U-IQw_AnNzI/AAAAAAAF9i4/4PTuuTHCJM8/s72-c/Mama+Salma.jpg)
Elimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9lhQsMnv1qk/U-IQw_AnNzI/AAAAAAAF9i4/4PTuuTHCJM8/s1600/Mama+Salma.jpg)
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria hafla fupi ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Kombe la Dunia lisiwe kiini cha michepuko
MACHO na masikio ya mamilioni ya watu duniani kote kwa sasa yako kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil, ambako jumla ya nchi 32 zinachuana kumpata mfalme mmoja tu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bgWZynVz*oWPxSnpdx81*nEWKnfR3YzfSf-rKjECbrgybhW*Lm71cHR*WwDE5OZ1owfBZc4HOPQOKXfTAK2yAQMGr3bGNgag/secky2.jpg)
FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY
10 years ago
GPL17 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s72-c/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
Zoezi hilo lilo anza majira ya saa 3 asubuhi na kumalizika majira ya saa 12 jioni ilishuhudiwa Mbunge Nassar akishiriki kazi za mikono ikiwemo kubeba mawe na kuayapanga katika eneo la mto kwa ajili ya ujenzi wa chanzo hicho.Akizungumza katika eneo hilo ,Nassar...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s72-c/15.jpg)
KINANA ASAFIRI KWA MASAA 14 KWENYE ZIWA VICTORIA KWENDA KISIWANI IRUGWA NA KUTUMIA MASAA MANNE MENGINE KWENDA KISIWA CHA UKARA KISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vh5FDNvX-c/VZGlBQk-mxI/AAAAAAAAgOY/LvibhBUdXII/s640/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s72-c/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s640/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKtCfTghbvo/VW_zy1isn_I/AAAAAAAAQaY/R04Q3tcGpTU/s640/11350631_10153393922822938_4279072481082144597_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pyoSi_p0KGI/VW_zyp4oASI/AAAAAAAAQaU/H72cXnQJsHU/s640/11136751_10153393923082938_5790109227992099170_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePmbIYrDxv4/VW_zzfgT7EI/AAAAAAAAQac/CJiAlEgkTZU/s640/11377205_10153393924747938_7031091485843044706_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2TNsBTjfLHE/VW_z6LAThkI/AAAAAAAAQa4/ABXOdZNxLyc/s640/11391753_10153393923607938_4006811402682417743_n.jpg)