Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michuano ya Europa ligi yaendelea

Michuano ya Europa ligi imeendelea tena usiku wa jana kwa mechi kadhaa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya Michuano ya Europa ligi

2754

Michuano ya Europa ligi imeendelea usiku wa Dec 10 jana kwa mechi kadhaa,Miongoni mwa mechi hizo ni mchezo kati ya FC Sion ya Uswiss dhidi ya Liverpool ya Uingereza ambazo zimetoshana nguvu ya bila kufungana Tottenham imeiadhibu Monaco kwa ushindi wa bao 4 – 1,

2754

MATOKEO MECHI ZA UEFA EUROPA LEAGUE JANA
Lech Poznan 0 – 1 FC Basel
Athletic Club 2 – 2 AZ
St Etienne 1 – 1 Lazio
Sporting Lisbon 3 – 1 Besiktas
RSC Anderlecht 2 – 1 FK Qarabag
Fiorentina 1 – 0 Belenenses
Partizan Belgrade 1 – 3 FC...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya ligi ya Europa (UEFA Europa League)

Uefa Europa League

Ligi ya vilabu barani Ulaya (Uefa Europa League) iliendelea hapo kwa michezo 24 iliyochezwa katika viwanja 12 tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Ajax 0 – 0 Fenerbahçe

Celtic 1 – 2 Molde

GROUP B;

FC Sion 1 – 1 Bordeaux

Rubin Kazan 0 – 1 Liverpool

GROUP C;

Borussia Dortmund 4 – 0 FK Qabala

FK Krasnodar 2 -1 PAOK Salonika

GROUP D;

Club Brugge 1 – 0 Legia Warsaw

Napoli 5 – 0 FC Midtjylland

GROUP E;

Dinamo Minsk 1 – 2 Villarreal

Viktoria Plzen 1 – 2 Rapid Vienna

GROUP F;

FC...

 

9 years ago

Bongo5

Matokea ya michuano ya UEFA Europa League

article-3335573-2ED8322A00000578-942_964x386

Usiku wa November 26 ilipigwa michezo ya mechi za michuano ya UEFA Europa League, Katika viwanja mbali mbali na haya ndo matokea ya mechi hizo. klabu ya Liverpool ambayo inashiriki michuano hiyo ilikuwa mwenyeji wa klabu ya Bordeaux katika dimba la Anfield.

Ajax

Ajax 2

Ajax 3

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

BBCSwahili

Vipigo vyatawala:Ligi ya Europa

Michuano ya ligi ya Europa imeendelea kutimua vumbi kwenye viwanja kadhaa barani Ulaya usiku wa kuamkia leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya Mechi za ligi ya Europa

Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku jana aliisaidia timu yake ya Everton kupata ushindi dhidi ya Dyanamo Kiev ya Ukraine wa magoli 2 kwa moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya voliboli yaendelea Nairobi

Michuano ya voliboli kombe la Afrika kwa Wanawake, inaendelea jijini Nairobi, Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Droo ya Europa Ligi kupangwa leo

Matokeo ya upangwaji wa droo ya timu 16 za ligi ya Europa zitafanyika leo nchini Uswisi

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya mechi za Europa Ligi November 5

3519

Matokeo ya mechi mbali mbali za UEFA EUROPA zilizochezwa usiku wa Alhamisi yako hapa.

3519

MATOKEO MECHI ZA UEFA EUROPA LEAGUE…
Rosenborg 0-2 Lazio
Athletic Club 5-1 Partizan Belgrade
Belenenses 0-2 FC Basel
Sparta Prague 1-1 FC Schalke 04
Tottenham Hotspur 2-1 RSC Anderlecht
St Etienne 3-0 Dnipro Dnipropetrovsk
Skenderbeu Korce 3-0 Sporting Lisbon
Lech Poznan 0-2 Fiorentina
Asteras Tripolis 2-0 APOEL Nicosia
Dinamo Minsk 1-2 Villarreal
Borussia Dortmund 4-0 FK Qabala
FK Krasnodar 2-1 PAOK...

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaiadhibu Bordeaux-Europa Ligi

Michuano ya Europa Ligi imeendelea tena jana kwa michezo mbalimbali katika hatua ya mtoano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani