Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michuano ya voliboli yaendelea Nairobi

Michuano ya voliboli kombe la Afrika kwa Wanawake, inaendelea jijini Nairobi, Kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Europa ligi yaendelea

Michuano ya Europa ligi imeendelea tena usiku wa jana kwa mechi kadhaa

 

11 years ago

Michuzi

michuano ya Airtel Rising Stars Yaendelea kurindima uwanja wa karume jijini dar

 Nahodha wa Timu ya Ilala, Maisala Adam (kulia) akimiliki mpira asinyang'anywe na mshabuliaji wa Kinondoni, Ibrahimu Chuli wakati wa michuano ya Airtel Rising Stars inayofanyika katika Kiwanja cha Karume jijini Dar es Salaam jana. Timu ya Ilala ilishinda 1-0.  Mchezaji wa Timu ya Ilala, Hussein Rashid (kulia) akipimana ubavu na Beki wa Timu ya Kinondoni, Miraji Kwangaya wakati wa michuano ya Airtel Rising Stars inayofanyika katika Kiwanja cha Karume jijini Dar es Salaam jana. Timu ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Ahly ni mabingwa wa Afrika wa Voliboli

Al Ahly ilishinda bingwa mtetezi Esperance ya Tunisia seti 3-1 katika mechi ya fainali ya mashindano ya voliboli ya klabu bingwa Afrika

 

9 years ago

BBCSwahili

Voliboli :wanawake Kenya vinara

Timu ya wanawake ya Voliboli nchini Kenya yawiki michuano ya All Africa Games

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya ni kidedea katika Voliboli Afrika

Kenya imesajili ushindi wa pili katika mashindano ya kuwania ubingwa wa Afrika miongoni mwa wanawake

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya, Algeria kucheza fainali Voliboli

Timu za wanawake za Kenya na Algeria zitapambana katika mchezo wa fainali Jumamosi

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yashinda taji la voliboli Afrika

Kenya iliishinda Algeria seti 3-0 katika mechi ya fainali na kuibuka mshindi wa mashindano ya voliboli ya kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake katika ukumbi wa Kasarani, jijini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yafuzu kwa nusu fainali

Kenya imefuzu kwa nusu fainali ya mchuano wa voliboli ya wanawake ya Grand Prix baada ya kuwanyamazisha Algeria seti 3-2 kwao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani