Michuano ya kimataifa, mbio za Baiskeli
Timu ya taifa ya Rwanda ya mchezo wa baiskeli inajiandaa kushiriki michuano ya nne ya kimataifa ya mbio za Biya nchini Cameroon.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bK_8oILi5-0/VDGAk6N-TfI/AAAAAAAGoGM/nFHnzU-SfUU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
WASHINDI WA MBIO ZA BAISKELI ZA SHIMIWI WATUNUKIWA MEDALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-bK_8oILi5-0/VDGAk6N-TfI/AAAAAAAGoGM/nFHnzU-SfUU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s9IU3vVyVoM/VDGAlkMWzEI/AAAAAAAGoGY/cuf4HEHw6js/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Mbio za baiskeli zasogezwa, zarudishwa Dar es Salaam
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LdLIixoMbrc/VYFj1-oUeMI/AAAAAAAHgeg/oC0tVa1g4KU/s72-c/image001.jpg)
MIKOA YA SHINYANGA NA MWANZA YAENDELEA UBABE MBIO ZA BAISKELI
Washiriki wa mbio za baiskeli zijulikanazo kama “Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge” kutoka mikoa ya Shinyanga na Mwanza wameendelea kuudhihirisha umma wa wakazi wa kanda ya ziwa na watanzania kwa ujumla kuwa mpaka sasa hawana mpinzani baada ya washiriki wa mbio hizo kuibuka kidedea katika fainali za kumtafuta mshindi wa kanda hiyo.
Washiriki wa mikoa hii miwili wamejinyakulia nafasi zote za juu na hivyo kuwashinda wenzao wa mikoa mingine ya Kanda ya...
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Mikoa ya Shinyanga na Mwanza yaendelea na ubabe mbio za baiskeli
Mshindi wa mbio za Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge, Masunga Duba aliyeinua mikono akishangilia mara baada ya kumaliza mbio hizo akiwa mbele ya wenzake. Mshindi huyo anatoka mkoa wa Shinyanga.
Mmoja wa washiriki wa mbio hizo akinywa maji wakati wa mashindano hayo.
Washiriki wa mbio za Acacia tufanikiwe pamoja lake zone cycle challenge wakimenyana vikali wakati wa mashindano hayo.
Makamu wa rais wa Kampuni ya Uchimbaji wa dhahabu ya Acacia, Deo Mwanyika (wa kwanza...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x5nfMUvOqsg/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathon sasa kufanyika Aprili 18
Waandaaji wa mbio za kimataifa za Ngorongoro Maratahoni katika mkutano na wanahabari kuzungumzia maandalizi ya mwisho ya mbio hizo zinazotarajia kufanyika Aprili 18 mwaka huu ,Karatu mkoani Arusha.
Mkurugenzi wa Zara Tanzania Adventure na Zara Charity,Zainab Ansel akizungumza na wanahabari kuhusu maandalizi ya mbio hizo ambazo zinadhaminiwa na Shirika lisilo la kiserikali la Zara Charity.
Mratibu wa Mbio za Kilimanjaro Marathoni Meta Peter akizungumzuia wanariadha wa Tanzania ambao...
10 years ago
MichuziMSIMU WA 13 WA MBIO ZA KIMATAIFA ZA KILIMANJARO MARATHONI WAZINDULIWA MJINI MOSHI
10 years ago
MichuziMBIO ZA KIMATAIFA ZA NGORONGORO MARATHONI SASA KUFANYIKA APRILI 18 MWAKA HUU
10 years ago
MichuziMkurugenzi wa Ushirikano wa Kimataifa awashauri vijana kufanya kazi na Mashirika ya Kimataifa