MIKOA YA SHINYANGA NA MWANZA YAENDELEA UBABE MBIO ZA BAISKELI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LdLIixoMbrc/VYFj1-oUeMI/AAAAAAAHgeg/oC0tVa1g4KU/s72-c/image001.jpg)
Na mwandishi wetu.
Washiriki wa mbio za baiskeli zijulikanazo kama “Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge” kutoka mikoa ya Shinyanga na Mwanza wameendelea kuudhihirisha umma wa wakazi wa kanda ya ziwa na watanzania kwa ujumla kuwa mpaka sasa hawana mpinzani baada ya washiriki wa mbio hizo kuibuka kidedea katika fainali za kumtafuta mshindi wa kanda hiyo.
Washiriki wa mikoa hii miwili wamejinyakulia nafasi zote za juu na hivyo kuwashinda wenzao wa mikoa mingine ya Kanda ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Mikoa ya Shinyanga na Mwanza yaendelea na ubabe mbio za baiskeli
Mshindi wa mbio za Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge, Masunga Duba aliyeinua mikono akishangilia mara baada ya kumaliza mbio hizo akiwa mbele ya wenzake. Mshindi huyo anatoka mkoa wa Shinyanga.
Mmoja wa washiriki wa mbio hizo akinywa maji wakati wa mashindano hayo.
Washiriki wa mbio za Acacia tufanikiwe pamoja lake zone cycle challenge wakimenyana vikali wakati wa mashindano hayo.
Makamu wa rais wa Kampuni ya Uchimbaji wa dhahabu ya Acacia, Deo Mwanyika (wa kwanza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s72-c/_MG_4711.jpg)
MAANDALIZI YA MIAKA 15 YA TAMASHA LA PASAKA YAENDELEA KUNOGA,BAISKELI 100 KUTOLEWA KWA WALEMAVU MIKOA KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zds5s2Ww4Ho/VOSRy0-vC9I/AAAAAAAC0F0/-XfNfpT7OWA/s1600/_MG_4711.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Bi7KveVHPWM/VW3YO1vlpgI/AAAAAAAHbeg/SKIW7qTOBwo/s72-c/IMG_0641.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cz0dy3z8qBI/VLuvtrPmg4I/AAAAAAAG-Lc/QHcGpk2XTIM/s72-c/0.1Jambazi%2Bsugu%2Blanaswa%2Bkanda%2Bya%2Bziwa.5.jpg)
mtuhumiwa sugu ujambazi katika mikoa ya mwanza,shinyanga na simiyu atiwa mbaroni
![](http://1.bp.blogspot.com/-cz0dy3z8qBI/VLuvtrPmg4I/AAAAAAAG-Lc/QHcGpk2XTIM/s1600/0.1Jambazi%2Bsugu%2Blanaswa%2Bkanda%2Bya%2Bziwa.5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6waFBYYp5Y4/VLuvshWVyxI/AAAAAAAG-LI/akdgKIwWWyM/s1600/0.1Jambazi%2Bsugu%2Blanaswa%2Bkanda%2Bya%2Bziwa.1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YxpdeOi5a60/VLr6cfJaT4I/AAAAAAAATy8/7fB_MLB1alQ/s72-c/2.jpg)
MAKAMANDA WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SIMIYU NA SHINYANGA WAVUNJA NGOME HATARI YA MTANDAO WA UJAMBAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YxpdeOi5a60/VLr6cfJaT4I/AAAAAAAATy8/7fB_MLB1alQ/s640/2.jpg)
Alisema mtiliwa shaka huyo alipohojiwa alisema kuwa jeraha hilo alipigwa risasi na jambazi mwenzake aitwaye Njile Samweli wakati wakifanya tukio la ujambazi katika kijiji cha Idukilo kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Tume ya ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya pili ya ziara yake katika Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Katibu wa Tume hiyo Wakili Fredrick Manyanda (pichani), Tume hiyo itatembelea mikoa hiyo kuanzia keshokutwa Alhamisi, Oktoba 23, mwaka huu hadi tarehe Novemba...
10 years ago
Michuzi04 Jun
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Michuano ya kimataifa, mbio za Baiskeli
11 years ago
Habarileo20 Jul
Daladala za baiskeli marufuku Shinyanga
BARAZA la Madiwani Manispaa ya Shinyanga limeazimia kuziondoa daladala zote za baiskeli kutokana na baadhi ya madereva wake kujihusisha na kufanya vitendo vya kikatili.