Daladala za baiskeli marufuku Shinyanga
BARAZA la Madiwani Manispaa ya Shinyanga limeazimia kuziondoa daladala zote za baiskeli kutokana na baadhi ya madereva wake kujihusisha na kufanya vitendo vya kikatili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Mikoa ya Shinyanga na Mwanza yaendelea na ubabe mbio za baiskeli
Mshindi wa mbio za Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge, Masunga Duba aliyeinua mikono akishangilia mara baada ya kumaliza mbio hizo akiwa mbele ya wenzake. Mshindi huyo anatoka mkoa wa Shinyanga.
Mmoja wa washiriki wa mbio hizo akinywa maji wakati wa mashindano hayo.
Washiriki wa mbio za Acacia tufanikiwe pamoja lake zone cycle challenge wakimenyana vikali wakati wa mashindano hayo.
Makamu wa rais wa Kampuni ya Uchimbaji wa dhahabu ya Acacia, Deo Mwanyika (wa kwanza...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LdLIixoMbrc/VYFj1-oUeMI/AAAAAAAHgeg/oC0tVa1g4KU/s72-c/image001.jpg)
MIKOA YA SHINYANGA NA MWANZA YAENDELEA UBABE MBIO ZA BAISKELI
Washiriki wa mbio za baiskeli zijulikanazo kama “Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge” kutoka mikoa ya Shinyanga na Mwanza wameendelea kuudhihirisha umma wa wakazi wa kanda ya ziwa na watanzania kwa ujumla kuwa mpaka sasa hawana mpinzani baada ya washiriki wa mbio hizo kuibuka kidedea katika fainali za kumtafuta mshindi wa kanda hiyo.
Washiriki wa mikoa hii miwili wamejinyakulia nafasi zote za juu na hivyo kuwashinda wenzao wa mikoa mingine ya Kanda ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5PP5UPPnpFw/XpAXEwhG4WI/AAAAAAALmtM/uOSWbOnx2wkpPIYqrMU2O68lDXXaBkqNgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-18-768x432.jpg)
RC SHINYANGA APIGA MARUFUKU WATOTO MINADA YA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-5PP5UPPnpFw/XpAXEwhG4WI/AAAAAAALmtM/uOSWbOnx2wkpPIYqrMU2O68lDXXaBkqNgCLcBGAsYHQ/s640/1-18-768x432.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainabu Tellack akiongea na wafanyibiashara wa mnada wa mifugo wa Muhunze ulioko Wilayani Kishapu jana alipofika katika mnada huo kujionea namna bora ya uzingatiaji wa maelekezo ya Serikali kuhusu kujikinga na mlipuko wa ugonjwa wa Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2AAA-1024x768.jpg)
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA SOKO KUU SHINYANGA.
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA MKUTANO NA AKINA MAMA ZAIDI YA 300 KUPAMBA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA
Hapa ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako wanawake/akina mama zaidi ya 300 wa manispaa ya Shinyanga wamekutana kujadili namna ya kupambana na ugonjwa wa Kipindupindu ambao umeukumba mkoa wa Shinyanga.Mkutano huo umeitishwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Akina mama hao waliojitokeza kwa wingi leo jioni Oktoba 06,2015 wameweka mikakati mbalimbali ya kutokemeza ugonjwa kipindupindu ambapo Jana pekee wagonjwa 9 wamelazwa katika kambi maalum jirani na hospital ya...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Afa akiendesha baiskeli
WATU wawili wamefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti akiwemo mwanamume aliyetambuliwa kwa jina la Mashaka Mkani aliyefariki dunia akiwa anaendesha baiskeli. Kamanda wa Polisi wa...
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Msafara wa baiskeli Tanzania
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Michuano ya kimataifa, mbio za Baiskeli
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Je mbuzi anaweza panda baiskeli ?