MICROSOFT YAZINDUA LUMIA SMARTPHONES TANZANIA
Kushoto ni Meneja Mkuu wa Microsoft Afrika Mashariki, Mariam Abdullahi na Meneja Uzalishaji wa Microsoft Afrika Mashariki, King’ori Gitahi wakizindua Microsoft Lumia Smartphones. Meneja Uzalishaji, King’ori Gitahi akitoa ufafanuzi wa simu hizo kwa wanahabari.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v14DBfm4Zls/VAd0bo0tzlI/AAAAAAACp9I/-8BCLIUJVRU/s72-c/2.jpg)
Microsoft Windows Phone 8.1yatambulishwa Tanzania kupitia Lumia 930, Lumia 630 and Lumia 530
![](http://2.bp.blogspot.com/-v14DBfm4Zls/VAd0bo0tzlI/AAAAAAACp9I/-8BCLIUJVRU/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wV2uacEM_ZU/VAd1QswegGI/AAAAAAACp9o/qL-0H9xhmPk/s1600/1.jpg)
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Nokia Afrika Mashariki, Bi.Lilian Nganda akizungumza na waandishi wa habari Septemba 3,2014 jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa simu mpya ya Nokia aina ya Lumia 530, 630 na 930.
![](http://3.bp.blogspot.com/-c3mtE2HBKzw/VAd0cv40x7I/AAAAAAACp9M/tnjGEctbI80/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EGU0UJsNmQQ/VAd0b_hbNuI/AAAAAAACp9Q/9Tv4pNZA6j8/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Microsoft Windows Phone 8.1 yatambulishwa Tanzania kupitia Lumia 930, Lumia 630 and Lumia 530
KAMPUNI ya Microsoft leo imetambulisha aina tatu ya Lumia ambazo ni Lumia 530, Lumia 630 pamoja na Lumia 930 huku zikiwa zimeunganishwa kabisa na mfumo mpya na wa kisasa wa kiteknolojia wa uendeshaji wa simu wa Windows Phone 8.1.
Mfumo huo mpya wa Windows Phone 8.1 unatoa mwanya zaidi kwa watumaiji wa simu hizo kuhakikisha kuwa wanajiunganisha na huduma mbalimbali za kisasa hasa katika lumia 530.
Pia kupitia mfumo huo wataalamu wa masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wanakuwa na...
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Microsoft yazindua laptopu mpya
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampuni ya Tigo Tanzania kusambaza simu za smartphones wakati wa maonesho ya Nanenane
Meneja wa mawasiliano wa Tigo Tanzania, John Wanyancha akiongea na wanahabari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Tigo kwenye maonesho ya Nane nane kitaifa mwaka huu, kushoto ni mwenyekiti wa TASO, Engelbert Moyo.
Wakulima na wageni mbalimbali watakaoshiriki kwenye maonesho ya nanenane ya mwaka huu wanatarajia kupata punguzo la bei ya simu za smartphones kutoka Tigo katika jitihada za kampuni ya mawasiliano ya simu kuwapatia watanzania wengi iwezekanavyo kupata kufurahia mambo...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Microsoft launches Mobile Mathematics in Tanzania
East Africa Communications Manager, Mobile Devices, Microsoft Lilian Nganda.
Microsoft, in partnership with the Ministry of Communications, Science, Technology and Tigo Tanzania, have officially launched an innovative mobile education service called Nokia Mobile Mathematics. This service is now being managed by Microsoft, after the company acquired substantially all of Nokia’s devices and services business.
Nokia Mobile Mathematics is a service that enables learners across Tanzania to...
11 years ago
HumanIPO17 Feb
Tanzania's UDOM students to create software for Nokia, Microsoft
HumanIPO
HumanIPO
Students at Tanzania's University of Dodoma are set to start creating software for Microsoft platforms such as Windows and Nokia mobile phones from next month. The programme will soon be extended to other institutions within Tanzania, including the ...
Tanzanian students to create new software for Microsoft, NokiaGlobal Times
all 3
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Lumia ya window 10 yaingia kitaani
Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya Microsoft Kingori Gitahi akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) wakati wa uzinduzi wa simu tatu aina ya Lumia jijini Dar es Saalaam.
Na Modewji blog team
Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya Microsoft Kingori Gitahi amewataka watumiaji wa simu za mkononi za Smartphone kuacha kuzitumia kwa kusoma barua pepe pekee na kuzifanyisha shughuli za kuzalisha mali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa simu tatu aina...
10 years ago
Dewji Blog13 May
Lumia Winners set for spectacular Cape Town Experience
(L-R)Uganda’s Onekalit Uhuru, Microsoft Mobile Device EA, General Manager Mariam Abdullahi, Tanzania’s Richard Mtango and Kenya’s Philip Mwaura.
WINNERS (L-R) Uganda’s Onekalit Uhuru, Tanzania’s Richard Mtango and Kenya’s Philip Mwaura at the send off party.
(L-R) Onekalit Uhuru, Romwald Bahati, Microsoft Mobile Device East Africa, General Manager Mariam Abdullahi, Richard Mtango and Ronald Mathew.
…as Microsoft’s #MakeItHappenEA campaign closes in style
Microsoft Mobile Devices has...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...