Mifumo hii mibovu ya kodi inazigharimu halmashauri
Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam ndiyo inayotajwa kuongoza kwa mapato kulinganisha na zingine kutokana na kuwa na vyanzo mbalimbali vilivyopo na ukweli kuwa ndio kitovu cha biashara nchini
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Mifumo ukusanyaji kodi inachangia migogoro
MFUMO mbovu wa udhibiti wa tozo mbalimbali za kodi ni moja ya sababu zinazochangia migomo na mivutano baina ya serikali na wafanyabiashara nchini. Hayo yalibainishwa mwishoni mwa wiki na Makamu...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote..
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali pamoja na zile jitihada za kuhakikisha Tanzania inakuwa na makusanyo mazuri ya mapato ya Serikali imekuja na good news leo January 06 2016. Waziri mpya wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango aliwahi kunukuliwa akisema ni aibu kwa kiongozi wa nchi kwenda nje ya […]
The post TRA ya Rais Magufuli imevunja rekodi hii makusanyo ya Kodi, yale makontena je? Hii hapa yote.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPLMIUNDOMBINU MIBOVU YASABABISHA AJALI DAR
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Wafanyabiashara wa matunda walia na miundombinu mibovu
MATUNDA ni lishe muhimu kwa binadamu, lakini yanahitaji uhifadhi mzuri kabla ya kuliwa. Kwa mfanyabiashara, matundani mali ingawa kuoza ni rahisi. Yakiwa mabichi yanaweza kuuzwa kwa bei nzuri, lakini yakishaanza...
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Sumaye: Miradi mingi mibovu ni pasenti za wakubwa
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Sitta: Sheria ya gesi itadhibiti mikataba mibovu
10 years ago
GPLWAKATI TUNAINGIA 2015, TUJIKUMBUSHE MIKATABA MIBOVU ILIYOIGHARIMU NCHI
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
10 years ago
StarTV28 Jan
Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...