Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKATI TUNAINGIA 2015, TUJIKUMBUSHE MIKATABA MIBOVU ILIYOIGHARIMU NCHI

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo. MUNGU ni mwema na ndiyo maana leo wasomaji wa safu hii mnaisoma huku mkiwa na afya njema. Tumhimidi Mungu aliyetuumba milele, amina.
Baada ya kusema hayo niseme machache kuhusu mikataba mibovu ambayo imeiingizia taifa hili hasara kubwa ambayo taifa linahujumiwa. Mikataba hii inanifanya nijiulize, baadhi ya watu, Watanzania wanasoma na kupewa nyadhifa za kufanya kazi kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sitta: Sheria ya gesi itadhibiti mikataba mibovu

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema sheria ya gesi inayotarajiwa kufikishwa bungeni mwishoni mwa mwaka huu itakuwa nguzo katika usimamizi wa mikataba yote ya nishati hiyo ili kulinufaisha taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuweni makini na mikataba kazi nje ya nchi - ushauri

>Wananchi wametakiwa kuwa makini na mikataba ya kazi waipatayo nje ya nchi ili kukabiliana na changamoto ya usafirishaji haramu wa binadamu.

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS 2015: DKT MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWA

DKT MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWAon August 26, 2015
 Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jioni ya AGOSTI 26,2015   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani...

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA


Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya, AGOSTI 28,2015. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOGMgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi baada ya kumaliza kujinadi  katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Watake wasitake Ikulu tunaingia — Lowassa

0D6A1147NA MAREGESI PAUL, KONGWA

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema ana uhakika wa kuingia Ikulu kwa kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Kutokana na hali hiyo, amewataka wanaomkosoa wawe wanajibu hoja kwa kuwa yeye ana utaratibu wa kuwaeleza Watanzania atawafanyia nini baada ya kuingia madarakani.

Lowassa alitoa kauli hiyo jana wakati akihutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kibaigwa,...

 

10 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO (UB) CHATOA MAFUNZO KWA MAOFISA WA SERIKALI KUTOKA NCHI 15 KUHUSU UANDIKAJI WA MIKATABA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

 Naibu Mkamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB),  anayeshughulikia Masuala ya Fedha, Dk. Elifuraha Mtalo (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoaj na washiriki  wa mkutano kuwajengea uwezo maofisa wa serikali wa kujadili mikataba inayohusu uwekezaji pamoja na biashara, walipotembelea  Ofisi za Chuo Kikuu cha Bagamoyo zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kimataifa wa kuwajengea uwezo maofisa wa serikali kuhusu uandikaji wa mikataba inayohusu...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani?

. Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha “kiulinzi” kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu. Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari […]

The post Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

MIUNDOMBINU MIBOVU YASABABISHA AJALI DAR

Muonekano wa sehemu ya barabara ilivyomeguka. Daladala iliyokwanguliwa wakati wa ajali hiyo. Trafiki akikagua eneo la tukio baada ya daladala hizo kugongana.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wa matunda walia na miundombinu mibovu

MATUNDA ni lishe muhimu kwa binadamu, lakini yanahitaji uhifadhi mzuri kabla ya kuliwa. Kwa mfanyabiashara, matundani mali ingawa kuoza ni rahisi. Yakiwa mabichi yanaweza kuuzwa kwa bei nzuri, lakini yakishaanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani