Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watake wasitake Ikulu tunaingia — Lowassa

0D6A1147NA MAREGESI PAUL, KONGWA

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema ana uhakika wa kuingia Ikulu kwa kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Kutokana na hali hiyo, amewataka wanaomkosoa wawe wanajibu hoja kwa kuwa yeye ana utaratibu wa kuwaeleza Watanzania atawafanyia nini baada ya kuingia madarakani.

Lowassa alitoa kauli hiyo jana wakati akihutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kibaigwa,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'


Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...

 

10 years ago

GPL

WAKATI TUNAINGIA 2015, TUJIKUMBUSHE MIKATABA MIBOVU ILIYOIGHARIMU NCHI

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo. MUNGU ni mwema na ndiyo maana leo wasomaji wa safu hii mnaisoma huku mkiwa na afya njema. Tumhimidi Mungu aliyetuumba milele, amina.
Baada ya kusema hayo niseme machache kuhusu mikataba mibovu ambayo imeiingizia taifa hili hasara kubwa ambayo taifa linahujumiwa. Mikataba hii inanifanya nijiulize, baadhi ya watu, Watanzania wanasoma na kupewa nyadhifa za kufanya kazi kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Mikakati 16 Ikulu ya Lowassa

LOWASSSA (2).jpg1Na Elias Msuya

MGOMBEA urais wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ametaja mambo manne ya msingi na mengine 16 atakayoshughulikia endapo atachaguliwa katika uchaguzi utakaofanyika kesho, huku akitoa jibu juu ya vilio vya Watanzania alivyovishuhudia wakati wa kampeni akisema: ‘Nimeona, nimesikia, nimeelewa na nitatenda’.

Akihutubia Taifa kwa njia ya televisheni, redio na hotuba yake kusambazwa katika mitandao ya intaneti jana jijini Dar es Salaam,...

 

9 years ago

GPL

UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU

Na Mwandishi Wetu WAKATI wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi ( Ukawa) wakiwa na shangwe kutokana na kumpata Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kama mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, ugumu wa kiongozi huyo kuingia ikulu umebainishwa, Uwazi lina habari kamili.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1IYZQ26 ...

 

10 years ago

TheCitizen

Richmond, Lowassa and the race to Ikulu

Dar es Salaam. On Monday this week, former Prime Minister Edward Lowassa opened what some analysts were quick to nickname “Pandora’s Box” after the Monduli lawmaker offered a well-crafted, rare version of his side of the story of the Richmond power scandal.

 

10 years ago

TheCitizen

Lowassa ready for Chadema Ikulu ticket

Former Prime Minister Edward Lowassa yesterday handed in presidential nomination forms to his new party, Chadema, setting in motion the process to formally endorse him. It is widely anticipated that Chadema will also forward Mr Lowassa’s name to its partners in Ukawa, which is made up of four parties.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Chadema imeiva kuingia Ikulu

Mgombea urais wa Chadema na kwa mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa amesema mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amekijengea mizizi imara chama chake na sasa kimeiva kuingia Ikulu Oktoba 25.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa: Masikini hafai kuingia Ikulu

Edward LowassaMGOMBEA anayewania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, Edward Lowassa jana alifanikiwa kupata wanachama 22,750 wa kumdhamini mkoani Singida na kusisitiza anaomba kwenda Ikulu ili amalize umasikini unaowakabili Watanzania, huku akisema Watanzania wasichague kiongozi masikini.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Ipo siku nitaingia Ikulu

8qsPaAk9NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

ALIYEKUWA mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono  Ukawa, Edward Lowassa amesema ipo siku ataingia katika Ikulu  kwa kupigiwa kura na Watanzania.

Lowassa alitoa kauli   mjini hapa jana katika Viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni wakati akimuombea kura mgombea ubunge wa   Arusha Mjini, Godbless Lema.

Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu matokeo ya urais yalipotangazwa na kumpa ushindi Dk. John Magufuli, Lowassa alisema anaamini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani