Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Migogoro inavyozoeleka vyuoni

Tabia ya wanafunzi wa elimu ya juu kugoma ili kushinikiza Serikali au uongozi wa chuo husika kufanya jambo fulani imeanza kuzoeleka nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yanayowasibu wanafunzi vyuoni — 2

Upungufu katika nyenzo za mawasiliano hasa lugha ya Kiingereza ni tatizo jingine kubwa la wanafunzi wetu katika taasisi za elimu ya juu.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi vyuoni kuendelea kukopeshwa

SERIKALI imesisitiza kuwa itaendelea kutoa mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi wote wenye sifa za kujiunga na vyuo mbalimbali vya elimu bila ubaguzi au kujali kuwa mwanafunzi aliyechaguliwa anakwenda kusoma chuo binafsi au cha serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Ulipaji wa mikopo vyuoni waongezeka

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, imesema maboresho ya ukusanyaji wa madeni ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwa kutumia njia ya mitandao, imeongezeka kutoka asilimia 30 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 39 mwaka jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaovaa hovyo vyuoni kudhibitiwa

SERA ya kudhibiti mavazi yasiyoendana na maadili, yanayovaliwa na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini, inaelezwa itakuwa muarobaini kwa wanafunzi husika. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, Mkuu wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wanaolipiwa na Bodi ya Mikopo kutofukuzwa vyuoni

Naibu Waziri wa Fedha, Adam MalimaSERIKALI imepiga marufuku kufukuzwa vyuo kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu wanaodhaminiwa na Serikali na kwamba dhamana yao inabebwa na Wizara ya Fedha.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Ada elekezi sasa kupangwa vyuoni



SERIKALI imeanza kufanya utafiti wa kina kwa kushirikisha wadau mbalimbali ili kuweza kupanga ada elekezi kwa programu zote zinazofundishwa katika vyuo vikuu nchini.

Jenister Mhagama - Naibu Waziri, Elimu na Ufundi Imesema mwongozo wa ada elekezi ulizinduliwa rasmi Machi 13, mwaka huu, na kwamba ada mpya zitaanza kutumika baada ya utaratibu wa mfumo huo mpya kukamilika.


Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, alipokuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yaanza kusambaza kompyuta vyuoni

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali kwa sasa imeanza kusambaza kompyuta katika vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuboresha elimu kwa wanafunzi. Pia, amesema baadaye Serikali itaanza kusambaza kompyuta ndogo zinazobeba vitabu kidijitali, maarufu kama tabuleti (tablets) kwa wanafunzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana- 1

Miezi kadha iliyopita tulishuhudia takriban vijana 10,000 wakimiminika katika Uwanja Mkuu wa Taifa kwa ajili ya usaili wa nafasi 70 za kazi katika idara mbalimbali za Uhamiahaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa mafunzo ya ujasiriamali shuleni na vyuoni

Elimu ya ujasiriamali katika nchi yetu haina umri mkubwa kama zilivyo taaluma nyingine kama vile lugha, historia, siasa na sayansi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani