Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa mafunzo ya ujasiriamali shuleni na vyuoni

Elimu ya ujasiriamali katika nchi yetu haina umri mkubwa kama zilivyo taaluma nyingine kama vile lugha, historia, siasa na sayansi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana- 1

Miezi kadha iliyopita tulishuhudia takriban vijana 10,000 wakimiminika katika Uwanja Mkuu wa Taifa kwa ajili ya usaili wa nafasi 70 za kazi katika idara mbalimbali za Uhamiahaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana-2

Wiki iliyopita nilianza kugusia sababu kwa nini tunahitaji kuufanyia mabadiliko mfumo wetu wa elimu. Endelea

 

9 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO

  Washiriki wa Manjano Dream-makers katika taasisi ya Manjano Foundation wamehitimu mitihani yao ya mwisho ya jinsi ya kupaka vipodozi (makeup). Kuanzia sasa, washiriki hao wanawake na wasichana 30 wanaianza safari yao ya mwaka mzima katika kujikita na ujasiriamali. Taasisi ya Manjano Foundation, ilianzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa programu ambayo itamuinua mwanamke wa Kitanzania kwa kumwezesha kujiongezea kipato na ambayo itakuwa ni chachu ya kubadili yale yote yaliyoyazunguka maisha...

 

10 years ago

Vijimambo

Wataalamu wa Mafunzo ya Ujasiriamali Wawapatia Mafunzo Wanakijiji wa Kitogani Zanzibar.

Kaimu Mkuu wa Taaluma wa Chuo cha Fedha Chwaka Zanzibar Dkt. Iddi Salum Haji akitoa mafunzo ya Ujasiriamali kwa Wajasiriamali wa Kijiji cha Kitogani kilichopo Wilaya ya Kusini UngujaKaimu Mkuu wa Idara ya Masomo ya Jumla na Mafunzo Mafupi Zanzibar Nd. Said Mohammed Khamis akitoa ufafanuzi juu ya mafunzo hayo kwa Wajasiriamali wa Kijiji hicho.Baadhi ya Wajasiriamali waliohudhuria katika mafunzo ya...

 

10 years ago

Michuzi

MAONYESHO YA KWANZA YA KIMATAIFA YA VIPAJI MPIRA WA MIGUU KWA VIJANA WALIOKO SHULENI NA VYUONI, TANZANIA DESEMBA 19 — 21 2014

Tunayo furaha kukujulisheni kuwa taasisi ya Boko Beach Veterans Sports Club (BBV) itaandaa maonyesho ya kimataifa ya vipaji vya mpira wa miguu kwa vijana wa mashuleni na vyuoni, kuanzia tarehe 19 had 21 kwenye uwanja wao wa kisasa ulioko maeneo ya Boko, Kinondoni , Dar es salaam.  
Maonyesho haya ni nafasi dhahiri kwa vijana wenye vipaji vya kusakata mpira wa miguu, wavulana kwa wasichana, kucheza soka nchini Marekani huku wakisoma katika vyuo vya nchini humo kwa kulipiwa gharama zote....

 

11 years ago

Habarileo

Aomba mitaala ya ujasiriamali shuleni

SERIKALI imeombwa kuandaa mitaala ya elimu ya ujasiriamali kuanzia shule za msingi ili kuwajenga wanafunzi hususani wenye ulemavu wa aina mbalimbali, kukua katika misingi imara ya kujitegemea mara wamalizapo masomo yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa elimu ya ujasiriamali katika shule na vyuo -1

Elimu ya ujasiriamali katika nchi yetu haina ‘umri’ mkubwa kama zilivyo taaluma nyingine zikiwamo lugha, historia, siasa na sayansi. Hii ni kutokana na historia ya nchi yetu hasa baada ya kupata uhuru, kwamba tuliamua kufuata siasa ya ujamaa na kujitegemea kupitia Azimio la Arusha.

 

11 years ago

Michuzi

WAPATIWA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

 Naibu meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Gervas Ndaki akizungumza jambo wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika hivi karibu katika ukumbi wa Hallfare na kudhaminiwa na kampuni ya Vannedrick ya jijini Dar es salaam kwa kushirikiana asasi isiyo ya kiserikali ya TCDA.  Fredrick Mwakalebela akizungumza jambo wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika hivi karibu katika ukumbi wa Hallfare na kudhaminiwa na kampuni ya Vannedrick ya jijini Dar es salaam kwa kushirikiana asasi isiyo ya kiserikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Wahitimu mafunzo ya ujasiriamali

Tatizo la ajira kwa vijana na wanawake nchini litapungua kama Serikali na wadau wa maendeleo watashirikiana kuwapatia mitaji na mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani