Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aomba mitaala ya ujasiriamali shuleni

SERIKALI imeombwa kuandaa mitaala ya elimu ya ujasiriamali kuanzia shule za msingi ili kuwajenga wanafunzi hususani wenye ulemavu wa aina mbalimbali, kukua katika misingi imara ya kujitegemea mara wamalizapo masomo yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana- 1

Miezi kadha iliyopita tulishuhudia takriban vijana 10,000 wakimiminika katika Uwanja Mkuu wa Taifa kwa ajili ya usaili wa nafasi 70 za kazi katika idara mbalimbali za Uhamiahaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali shuleni na vyuoni inawezekana-2

Wiki iliyopita nilianza kugusia sababu kwa nini tunahitaji kuufanyia mabadiliko mfumo wetu wa elimu. Endelea

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa mafunzo ya ujasiriamali shuleni na vyuoni

Elimu ya ujasiriamali katika nchi yetu haina umri mkubwa kama zilivyo taaluma nyingine kama vile lugha, historia, siasa na sayansi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Kubadilishwa mitaala kunachangia kufeli’

KUBADILISHWA kwa mitaala ya kufundishia shule za Msingi na Sekondari nchini, ni miongoni mwa sababu za wanafunzi kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yao ya kuhitimu kutokana na mkanganyiko kwenye mitaala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kubadili mitaala ya elimu

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeshauriwa kubadili mitaala ya sekta hiyo kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali wa elimu ili kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo katika taifa na...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Bilal kufungua mkutano wa mitaala ya Kiislamu

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib BilalCHUO Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kwa kushirikiana na Taasisi ya International Islamic Thought (IIIT) yenye makao yake makuu nchini Marekani, kimeandaa mkutano wa kimataifa juu ya Epistimolojia ya Kiislamu na Maendeleo ya Mitaala.

 

11 years ago

Habarileo

TMA: Hali ya Hewa iingizwe kwenye mitaala

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeshauriwa kuingiza mitaala ya elimu juu ya masomo yanayohusu hali ya hewa katika shule za Sekondari. Imesema hali hiyo itawezesha kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi na hali zake katika karne zijazo.

 

10 years ago

Habarileo

Balozi ashauri mitaala kubeba hatma ya nchi

BALOZI wa Tanzania nchini China, Abdulrahman ShimboBALOZI wa Tanzania nchini China, Abdulrahman Shimbo ameshauri mitaala ya elimu iingize masuala yanayowaunganisha Watanzania ili kuvisaidia vizazi vya sasa na vijavyo kuilinda nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Kabaka aibana VETA kuhusu mitaala

WAZIRI wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka ametoa rai kwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) kuhakikisha wanasikiliza maoni ya wadau ili kujua mahitaji yao sambamba na kubadili mitaala ya elimu ya mafunzo yanayotolewa kwenye vyuo hivyo ili kuendana na soko la ajira lililopo hivi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani