Mikoa 21 yaunganishwa mkongo wa taifa
MIKOA 21 nchini imeunganishwa na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano huku ikielezwa kuwa, vijiji 4,000 ambavyo havijaunganishwa na mkongo huo, vitaunganishwa katika awamu ya tatu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Matawi ya Shirika la Bima (NIC) nchini kote yaunganishwa na mkongo wa mawasiliano wa taifa
Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa NIC Bw. Justin Mwandu akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma za shirika hilo kupitia mkongo wa taifa wa mawasiliano ambapo matawi yote nchini ya shirika hilo yameunganishwa pamoja na makao makuu ili kurahisisha huduma za bima zinazotolewa na Shirika hilo nchini kote, Amesema kwa sasa baada ya Kampuni ya simu ya TTCL kufanya kazi nzuri ya kuunganisha mtandao wa huduma za NIC nchini kote kupitia mkongo wa mawasiliano wa taifa mteja anaweza kuhudumiwa...
10 years ago
Michuzi
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) LAKABIDHIWA MRADI WA USIMIKAJI WA HUDUMA YA MKONGO WA TAIFA NA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL)



10 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO, KATIKA KITUO CHA KUTUNZIA KUMBUKUMBU CHA TAIFA (NATIONAL INTERNET DATA CENTRE) KIJITOMYAMA.


10 years ago
Habarileo15 Jul
Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano wahujumiwa
MKONGO wa Taifa wa mawasiliano unaounganisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Malawi na Zambia, umehujumiwa miundombinu yake na baadhi ya wananchi wanaoishi karibu na maeneo yanayopitiwa.
11 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Wahimizwa kuutumia mkongo wa taifa
WADAU na wananchi wametakiwa kuongeza matumizi ya Mkongo wa Taifa na kuutumia vizuri ili kujenga jamii habari. Pia, wametakiwa kushirikiana kwa pamoja kuulinda kwa kuwa kumekuwa na desturi ya baadhi...
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Mkongo wa taifa na ndoto za Tehama shuleni
10 years ago
Vijimambo26 Feb
TPB yaunganisha matawi yake na Mkongo wa Taifa


11 years ago
Dewji Blog03 Sep
Mkongo wa Taifa wasaidia kushuka kwa gharama za mawasiliano nchini
Msemaji wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Bi. Prisca Ulomi akiongea na waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya mkongo wa Taifa ikiwamo kusaidia kushuka kwa gharama za Mawasiliano nchini. Kushoto ni Mkurugenzi huduma za mtandao wa TTCL Mhandisi Joram Lujara.
Mratibu wa Ufundi kutoka Ofisi ya Mkongo wa Taifa Mhandishi Anifa Chingumbe akiwaonesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) maeneo ambayo mkongo wa Taifa umepita, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini...
11 years ago
Michuzi
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL) NA OFISI ZA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO


