Milio ya risasi yasikika usiku Bujumbura
Kumekuwa na mapigano usiku kucha Burundi ambako kulikuwa na jaribio la mapinduzi ya kutaka kumpindua rais Pierre Nkurunziza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 May
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
10 years ago
StarTV21 May
Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Bujumbura.
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.
Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa awamu ya tatu.
Walioshuhudia wanasema kuwa polisi walimpiga mwandamanaji huyo risasi mgongoni wakiwa katika eneo la Musaga linalotazamwa kama ngome ya upinzani.
Waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Bujumbura lakini walitimuliwa kwa mabomu...
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Watu 4 wameuawa usiku wa jana Bujumbura
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Wizara ya Mambo ya Nje yathibitisha kifo cha balozi wa Libya aliyejipiga risasi usiku wa kuamkia leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Membe.
Na Mwandishi wetu.
Balozi wa Libya nchini Mh. Ismail Nwairat amefariki dunia jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo baada ya kujipiga risasi ya kifuani upande wa kushoto akiwa ofisini kwake.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilisema kuwa, ilipokea taarifa kutoka kwenye Ubalozi huo kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat amefariki dunia kwa kujipiga risasi.
Hata...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s72-c/2%2B%25282%2529.jpg)
RC KAGERA AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI WATUMISHI WANNE NA WATENDAJI WENGINE 30 KUKAMATWA WILAYANI BIHARAMULO KWA UBADHILIFU WA SH. MILIO 307.
![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25282%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Biharamulo.
Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaagiza Kamanda wa Polisi na Kamanda wa TAKUKURU mkoani Kagera kuwakamata watumishi 34 katika Halmashauri ya wilaya Biharamulo wakiwemo watendaji wa vijiji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbRog78kShNuFvg6v*KMqFPMeguYPmXUvPBWNGvTBk48uyoEtFx847XFldTWGISzH5wXWX0bS*qxDIoa*BVxTpX/NetherlandsvsArgentina2014.jpg?width=650)
11 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlk8yqtM5mv04011z8c4fiuiNjinx*LAGcYhCBkygaMQLH8M22ItgF8MPL5tdn4oF1tob3Tg66iEEC8TJBOaIA8/article26573901EBF352B00000578670_636x382.jpg?width=650)
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
11 years ago
GPL