Mimba ya Jokate Yazua Balaa
Kwani kimenuka? Siku chache baada ya kubumburuka kwa habari ya kunasa mimba ikimhusisha ‘mtoto mzuri’ Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ huku mhusika mkuu akitajwa kuwa ni msanii nguli wa Bongo Fleva, Ali Kiba, ishu hiyo imezua balaa kufuatia familia ya mrembo huyo kushtushwa na hali hiyo, Ijumaa Wikienda limenyetishiwa.
TWENDE OYSTERBAY
Mwishoni kwa wiki iliyopita, ‘kijumbe’ wa gazeti hili alitua getini nyumbani kwa akina Jokate, Oysterbay jijini Dar kwa lengo la kutaka kujua nini kinaendelea...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXJwALCWBGZhn2beMGuNjt4pLti2LOTQsWet2N4bbyhWK5bBGrrv3ehweccE0Vdeqrb6wUr8YFyYAdeBwovWXdWJ/FRONTWIKIENDA.gif?width=650)
FUTARI YAZUA BALAA!
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Simba yazua balaa Mbeya
PRESHA ya mechi ya Ligi Kuu ya Bara kati ya Simba na Mbeya City itakayopigwa leo Uwanja wa Sokoine mjini hapa, imezua balaa kwa wenyeji kiasi cha kutimuana. Kisa ni...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Maiti ya kichanga yazua balaa
MTAFARUKU mkubwa umetokea msibani katika Mtaa wa Kawajense Madukani, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi baada ya ndugu wa pande mbili kugombania kuuzika mwili wa kichanga, Junia Bacho mwenye mwaka mmoja...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mitambo ya Sh1.2 bilioni yazua balaa
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Matibabu ya Kikwete yazua balaa Bungeni
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ally Kessy (CCM), kwa mara nyingine tena, jana alinusurika kichapo kutoka kwa wabunge wa Chama cha Wananchi (CUF), baada ya kuwapasha kwamba wanatibiwa nchini India, kwanini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHvniJdYBX6PlIhtTWhkh7SFO18w1P4BeLgFUEoqExEobK3rXcPEQhoTjB0QDcZMNo1KQORm66IiCkbsMP8uBwAY/ponda.jpg?width=650)
SIMU YA KICHINA YAZUA BALAA KESI YA SHEHE PONDA
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Mvua yazua balaa Buguruni, watu 1,163 hawana mahali pa kuishi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LtxB0pVU7o6qtMGaW0NpHuzxN9ZmfHecLtIUT6pmcVGX4DkyvsQHQ3ayfYDez3yt7XkZnVNzMVRhGc7lWSJjiEx/Aunt.jpg)
MIMBA YA AUNT EZEKIELIMEZUA BALAA!
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Mimba ya Jokate yadaiwa kuchoropoka
Mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’
Stori: Gladness Mallya
IMEFICHUKA! Ile mimba ya mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ iliyokuwa ikisemekana ni ya Mbongo-Fleva, Ali Saleh Kiba inadaiwa kuharibika kwa kuchoropoka kisa kikiwa ni mazoezi makali aliyoyafanya hivi karibuni.
Kidoti na Ali Kiba
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kwamba, Jokate kwa sasa hana ujauzito tena kwani ulichoropoka kufuatia mazoezi makali ya kujiandaa na shoo aliyofanya ya Nyama Choma...