Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Minister Abdallah Kigoda dies in India

Minister for Trade and Industries Dr Abdallah Kigoda, 62, is no more.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

Industry and Trade minister, Dr Abdallah Kigoda


IPPmedia
Industry and Trade minister, Dr Abdallah Kigoda
IPPmedia
The development of Special Economic Zones (EPZ) in the country has been very expensive “but the outcomes of this endeavour in the country's economic growth and employment creation have been promising.” Industry and Trade minister Dr Abdallah ...
Evicted Kurasini residents to get payDaily News

all 4

 

9 years ago

Michuzi

Kwaheri Dr. Abdallah Omari Kigoda.

Na Profesa Mark MwandosyaImenichukua muda wa zaidi ya saa ishirini kuandika machache kuhusu Dr. Abdallah Omari Kigoda, aliyetutoka akiwa Hospitali ya Apollo, New Delhi, India baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Katika kipindi hicho nimekuwa nikitafakari maneno gani yanaweza kumwelezea Dr. Abdallah Omari Kigoda, maneno ambayo yanaweza kumtendea haki, kuonyesha masikitiko yangu na familia yangu, na kutoa pole kwa familia yake, mkewe, watoto na ukoo wote wa Kigoda, wakiwa Handeni na popote...

 

9 years ago

GPL

WAZIRI ABDALLAH KIGODA AMEFARIKI DUNIA

Waziri wa viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda (Mb) enzi za uhai wake.

 

9 years ago

Michuzi

RATIBA YA MSIBA WA MAREHEMU MHE. DKT ABDALLAH OMARY KIGODA

RATIBA YA MSIBA WA MAREHEMU MHE. DKT ABDALLAH OMARY KIGODA (MB) WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA TAREHE 13 - 15 OKTOBA, 2015.
JUMATANO TAREHE 14 OKTOBA, 2015

NYUMBANI KWA MAREHEMU – UPANGA


Muda

Tukio

Mhusika

Saa 1.00 – 2.00Asubuhi

Chai

Wote

Mshereheshaji

Saa 6.00 – 7.00 Mchana

Chakula cha Mchana

Wanafamilia na Waombolezaji

Saa 8.30 – 9.00 Mchana

Viongozi na Waombolezaji kuwasili JNIA Termibal I


Viongozi/Waombolezaji

Saa 9.00– 9.30Asubuhi

Mwili ...

 

9 years ago

Vijimambo

PROFESA MARK MWANDOSYA ATOA YA MOYONI KUHUSU MAREHEMU DR. ABDALLAH OMARI KIGODA

Na Profesa Mark MwandosyaImenichukua muda wa zaidi ya saa ishirini kuandika machache kuhusu Dr. Abdallah Omari Kigoda, aliyetutoka akiwa Hospitali ya Apollo, New Delhi, India baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Katika kipindi hicho nimekuwa nikitafakari maneno gani yanaweza kumwelezea Dr. Abdallah Omari Kigoda, maneno ambayo yanaweza kumtendea haki, kuonyesha masikitiko yangu na familia yangu, na kutoa pole kwa familia yake, mkewe, watoto na ukoo wote wa Kigoda, wakiwa Handeni na popote...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aongoza maelfu ya waombolezaji kwenye mazishi ya Dkt. Abdallah Kigoda mjini Handeni, Tanga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt Abdallah Kigoda mjini Handeni Alhamisi Oktoba 15, 2015 kuongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Waziri huyo aliyekuwa pia Mbunge wa Handeni kwa zaidi ya miongo miwili.     Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi kwenye kitabu cha maombolezo  nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt.Abdallah Kigoda mjini Handeni Alhamisi Oktoba 15, 2015 kuongoza mamia ya...

 

9 years ago

IPPmedia

Kikwete mourns minister Kigoda.


IPPmedia
Kikwete mourns minister Kigoda.
IPPmedia
President Jakaya Kikwete yesterday sent a message of condolences to the Prime Minister Mizengo Pinda on the death of the Minister for Industry and Trade, Dr Abdallah Omari Kigoda (62) and a Member of Parliament for Handeni Constituency who died on ...

 

9 years ago

TheCitizen

Kigoda: Tribute to a media-friendly minister

There is a clear difference between woga and heshima (Kiswahili for “fear” and “respect”). You will hear the neighbour’s daughter say: Simuogopi Yule kaka, bali namheshimu tu (I don’t fear that person, I only respect him). You can as well guess what is likely to follow this declaration.

 

9 years ago

TheCitizen

Kigoda body set for arrival from India

The body of the minister for Industry and Trade, Dr Abdallah Kigoda, who died in India on Monday is expected to arrive in the country this afternoon as funeral arrangements continue.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani