Minyukano ya uchaguzi tangu 1958
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepanga Oktoba 25 mwaka huu kuwa siku ambayo Watanzania watakuwa wanapiga kura kuwachagua viongozi wapya katika nafasi za udiwani, ubunge na urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Sudan:Uchaguzi wa kwanza tangu kujitenga
10 years ago
AllAfrica.Com04 Jun
Maasai Peg Hopes in 1958 Serengeti Park Agreement
AllAfrica.com
Nearly 60 years after the formation of Serengeti National Park, the official contract which was signed between the Colonial British rulers and the Maasai who formerly resided in the reserve has landed in Tanzania. Dating back to 1958 the charter document, ...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Safari ya Kenya hadi 50 tangu 63
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
10 years ago
CloudsFM15 Jan
THT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUAZISHWA
Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji(THT) kinarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake,sherehe hizo zinarajiwa kufanyika Jan.31,Escape One,Mikocheni jijini Dar.
THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji,lakini wasio na uwezo wa kujiendeleza wenyewe kwenye sekta ya sanaa hapa nchini,na toka wakati huo kituo hicho kimekuwa na mafanikio makubwa na mchango wa pekee kwenye kukuza sana ya muziki hapa nchini.
Akizungumzia maadhimisho hayo meneja wa...
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Mwaka 1 tangu wanafunzi 43 kutoweka Mexico
11 years ago
Habarileo03 Apr
hawajatembelewa na viongozi wa kitaifa tangu uhuru
WANANCHI wa Kata ya Chiwindi katika halmashauri ya Wilaya ya Nyasa wamelalamika kuwa hawajawahi kutembelewa na kiongozi yeyote kitaifa tangu Tanganyika ipate Uhuru mwaka 1961.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Yanga haijaifunga Al Ahly tangu 1982