Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Minyukano ya uchaguzi tangu 1958

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepanga Oktoba 25 mwaka huu kuwa siku ambayo Watanzania watakuwa wanapiga kura kuwachagua viongozi wapya katika nafasi za udiwani, ubunge na urais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sudan:Uchaguzi wa kwanza tangu kujitenga

Wapiga kura milioni 13 wanajiandaa kwa uchaguzi mkuu Sudan kuamua nani kati ya wagombea 15 wa urais akiwemo rais Omar el Bashir atawangoza

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Maasai Peg Hopes in 1958 Serengeti Park Agreement


Maasai Peg Hopes in 1958 Serengeti Park Agreement
AllAfrica.com
Nearly 60 years after the formation of Serengeti National Park, the official contract which was signed between the Colonial British rulers and the Maasai who formerly resided in the reserve has landed in Tanzania. Dating back to 1958 the charter document, ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

11 years ago

BBCSwahili

Safari ya Kenya hadi 50 tangu 63

Wachoraji wa vibonzo nchini Kenya watoa taswira yao kuhusu Kenya ilipofika tangu mwaka 1963

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA

Kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar e salaam DRFA,imeshindwa kutekeleza agizo la lililotolewa na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF la kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa chama cha soka wilaya ya temeke TEFA uliopangwa kufanyika jumapili agosti 23/2015.
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...

 

10 years ago

CloudsFM

THT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUAZISHWA

Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji(THT) kinarajia kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake,sherehe hizo zinarajiwa kufanyika Jan.31,Escape One,Mikocheni jijini Dar.THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji,lakini wasio na uwezo wa kujiendeleza wenyewe kwenye sekta ya sanaa hapa nchini,na toka wakati huo kituo hicho kimekuwa na mafanikio makubwa na mchango wa pekee kwenye kukuza sana ya muziki hapa nchini.Akizungumzia maadhimisho hayo meneja wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwaka 1 tangu wanafunzi 43 kutoweka Mexico

Maandamano yamefanyika Mexico kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusiana na kutoweka kwa wanafunzi 43

 

11 years ago

Habarileo

hawajatembelewa na viongozi wa kitaifa tangu uhuru

WANANCHI wa Kata ya Chiwindi katika halmashauri ya Wilaya ya Nyasa wamelalamika kuwa hawajawahi kutembelewa na kiongozi yeyote kitaifa tangu Tanganyika ipate Uhuru mwaka 1961.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga haijaifunga Al Ahly tangu 1982

>Mshambuliaji Omary Hussein anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji pekee wa Yanga aliyefanikiwa kuzitikisa nyavu za Al Ahly hadi sasa katika mashindano yanayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika(CAF).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani