Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mirerani sasa wataka EPZ kuharakishwa

Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, wameomba Serikali iharakishe ujenzi wa Eneo Huru la Biashara (EPZ) ili wapate soko la uhakika wa madini yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wataka kesi za udhalilishaji kuharakishwa

WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia, wamevitaka vyombo vya sheria nchini ikiwemo Mahakama, kuzipatia ufumbuzi wa haraka kesi za udhalilishaji wa kijinsia, ikiwemo ubakaji. Ofisa wa Utetezi wa Chama cha Waandishi wa Habari (TAMWA), Asha Abdi alisema jumla ya kesi 996 ziliripotiwa katika vituo vya Polisi Unguja na Pemba.

 

10 years ago

Habarileo

TAWNET wataka uchunguzi wakwepa kodi kwenye sukari kuharakishwa

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Kodi Tanzania (TAWNET) kimeitaka Serikali kuharakisha uchunguzi dhidi ya wafanyabiashara wanaoingiza sukari kimagendo na kukwepa kodi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana sasa awapoza wachimbaji Mirerani

Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana amesema Serikali imesitisha uamuzi wa kufuta leseni ya migodi 18 ya madini ya tanzanite kwenye mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro inayopakana na Kampuni ya TanzaniteOne.

 

9 years ago

Habarileo

Wataka Uspika sasa wafikia 21

IDADI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Uspika na Unaibu Spika katika Bunge la 11 linalotarajiwa kuanza wiki ijayo, inazidi kuongezeka ambapo hadi sasa wamechukua fomu wanachama takribani 21.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA SASA WATAKA WANAJESHI WACHEZE LIGI KUU YAO

Uongozi wa klabu ya Yanga umeshauri timu za majeshi kupewa nafasi ya kushiriki Ligi Kuu Bara ya wanajeshi.Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (kushoto) akiwa amekabwa roba na mchezaji…Msemaji na mkuu wa kitengo cha Yanga, Jerry Muro amesema timu za majeshi zimekuwa zikigeusa mchezo wa soka kama vita."Kweli ile ni vita na si jambo jema. Hivyo tunawaomba kama TFF wataweza basi wawape nafasi watu hawa kucheza ligi yao."Wacheze timu za majeshi maana wao watakuwa wana mbinu za kijeshi kupambana....

 

10 years ago

Habarileo

Kesi za wauaji wa albino kuharakishwa

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muunngano wa Tanzania Mohamed Chande OthumanJAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amesema watahakikisha kesi zote zinazohusu mauaji ya walemavu wa ngozi zinapewa kipaumbele.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuico wadhalilishwa EPZ

Mgogoro wa malipo kati ya wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha Tanzania Took Garment umechukua sura mpya kutokana na uongozi kutotoa ushirikiano kwa Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (Tuico).

 

10 years ago

Mwananchi

EPZ yawaliza wakazi B’moyo

Mipango ya uwekezaji mkubwa kupitia Ukanda Huru wa Uchumi (EPZ), imegeuka kuwa shubiri kwa wakazi wa vijiji kadhaa wilayani hapa baada ya utaratibu wa kuwalipa fidia kwa ajili ya ardhi yao itakayochukuliwa na miradi hiyo kusuasua.

 

10 years ago

TheCitizen

EPZ exports expected to hit $300m this year

Dar es Salaam. Tanzania’s exports from companies licensed by the Export Processing Zones Authority (EPZA) are expected to grow by 36.36 per cent to $300 million as the regulator eyes to register 25 more companies this year.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani